nyundo2017
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 1,439
- 858
Habarini,
Hili la watumishi wa brela kuwa jeuri na kuchelewesha usajiri kwa makusudi kwa njia ya mtandao imekuwa kero sana kwetu.
Mtu unatafuta jina halafu unaandaa nyaraka zote muhimu wanakwambia ulipie unalipia kisha wanasema jina lako linafanana na majina mengine rekebisha unarekebisha baada ya hapo hawapokei simu j3 hadi ijumaa jioni wakipokea wanakwambia angalia tayari wameshughulikia kumbe bado na ukiwakumbusha wanakwambia huduma ni ndani ya siku tau hasa watu wamsaada kwa isajiri wa makampuni.
Pia kuna tabia ya kudai Brela ndiyo wenye mamlaka ya kusajiri au kutosajiri kampuni kitu ambacho kinawapatia jeuri sana na kujiona miungu watu.
Nashauri Brela nao wafanye kazi masaa 24 ili kuboresha huduma na uharaka wa kusajiri majina ya biashara na makampuni kwani kuchelesha usajiri ni kuchelewesha ukusanyaji kodi.
Hili la watumishi wa brela kuwa jeuri na kuchelewesha usajiri kwa makusudi kwa njia ya mtandao imekuwa kero sana kwetu.
Mtu unatafuta jina halafu unaandaa nyaraka zote muhimu wanakwambia ulipie unalipia kisha wanasema jina lako linafanana na majina mengine rekebisha unarekebisha baada ya hapo hawapokei simu j3 hadi ijumaa jioni wakipokea wanakwambia angalia tayari wameshughulikia kumbe bado na ukiwakumbusha wanakwambia huduma ni ndani ya siku tau hasa watu wamsaada kwa isajiri wa makampuni.
Pia kuna tabia ya kudai Brela ndiyo wenye mamlaka ya kusajiri au kutosajiri kampuni kitu ambacho kinawapatia jeuri sana na kujiona miungu watu.
Nashauri Brela nao wafanye kazi masaa 24 ili kuboresha huduma na uharaka wa kusajiri majina ya biashara na makampuni kwani kuchelesha usajiri ni kuchelewesha ukusanyaji kodi.