Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Maadili yepi tiliyonayo?Unafiki mtupu.....
They deserve my support for they did it for a noble human cause! Hongereni sana kina dada wa South.
sasa hizi ndo nchi za kuishi...! sio kila kona suruali..... sketi....magauni....! loooooo.......! inatakiwa ukiwa mjini kidogo unatembea huku umedindisha..!
thnx God for giving us women.. ! i salute u!
NO WONDER WOMEN WERE THE LAST CREATION...!
ila tatizo hapa bongo mabinti wetu wengi wanavitambi vya serengeti lager..! wakivaa hzo bikini matumbo yatazifunika tu..! yani bikini unaiona kwa nyuma..! kwa mbele kama yupo mtupu...! HIZI BIA WE ACHA TU..!
Mkuu, lakini si wengi wanakunywa bia? Kina dada wengi wanatumia soft drinks.
Mkuu; Sasa huko mimi siko. Ngoja wenyewe waje wakusome. I am out!
Think of Breast Cancer Only!
Yani sijui kwanini chupi ni big deal kwa sana Bngo? hata ukienda beach, watu bado hawajiachii, mikanga kibao. Ukienda kwenye umiss bado watu wanabaniabania, ndo mana hata wakifika huko Miss World wanatoswa mwanzoni.
Mkuu, lakini si wengi wanakunywa bia? Kina dada wengi wanatumia soft drinks.