Breakup is hard to do, kuachana kusikie kwa mwenzio

Sometimes huwa tunawadanganya kwa ajili ya mapenzi, amani, furaha na kupunguza muda wa kujibu maswali.

Just imagine jamaa kasema kweli na anajutia wewe unamwacha hayo mambo c sawa,

Mnachotakiwa wapendanao uongo mwingine hudumisha penzi ( baba wa imani aliwahi tumia uwongo kupata baraka zaidi, pia alituma uwongo huo huo kumtambulisha mke wake Sara ili asichapiwe, ) mtuelewe wapenzi
Aah!mkuu mwanamke akikiri mwenyew kuwa ka cheat wala usijipe muda wa kujadiliana nae,huyo tayar keshapata mwngne huko,mpk kukwambia hivo c bahat mbaya ila amedhamiria
 
Kuna mmoja nilimpenda sijawahi penda vile ikafikia timea akaanza kuniona mimi kama vile boya ana cheat anatuma picha zake za uchi namkamata nasamehe nikawa nashindwa kumuacha

Siku moja sijui kapata jitu gani likamchanganya anakuja mara "siwezi date na wewe nakuzidi miaka miwili" we mdogo wangu na time hiyo nimemkula kinyama pamoja na dharau zake na show nilikua namuweka kinyama nikawa nambembeleza akagoma nikatulia kimya ingawa nilikua naumia sio kawaida aisee

Badae akaja tena nimsamehe tuendelee nikakubali kwa sababu kale kairak nilikua nakapenda acha kabisa ....baada ya muda nikaona tabia ni zilezile na mimi nikapiga chini na mpaka leo nilikua naona nimechelewa na hua sielewi moyo na akili vilipata vipi ule ujasiri wa kiwango kile ilikua noma sana na mpaka leo kinanisumbua kinataka kugegedwa na mimi juzi kinasema tukutane dodoma na mimi sipo huko sasa hivi na wala hakuna guts za mimi kuonana nako

Toka hapo sidhani kama ntaumia vile tena haitatokea nahisi kupata sugu moyoni ndio maana sasa hivi huyu wa sasa niko nae kwenye uhusiano mguu ndani mguu nje manake kuna dalili simuelewi na nimeanza kumuahsiria kumuacha
IMG_20210427_104621.jpg
 
Maumivu ya mapenzi ni noma kaka. Me sijawahi kuachana na mke wangu na sikuwa najua yale maumivu ambayo watu wengi wamekuwa wakiyaimba kila leo. Kuna muda ulifika penzi letu likapitia dhoruba fulani kali, aiseeh acha kabisa yani kazi chungu, Simu chungu, hutamani kufanya chochote kile na usiombe ukutane na picha zake.

Ukiachika, angalau uwe vizuri kiuchumi na uwe na kampani kubwa ya watu wa maana, kidogo inasaidia. Ila ukiachwa alafu uwe fukara daaaah.
Naona kama unanisema au unanifahamu ndg
 
Mm nilishawahi kuumizwa na breakup moja tu ya 2017dec.
Baada ya hiyo sidhani kama kuna nyingine itauniumiza.

Afu siku hizi mbona mambo ya kuachana yanabadilika kidigital zaidi? Yaan ni simple mno .

Mara unastukia mtu hajakutafuta siku inapita nyingine inapita ndo basi tena.

Mm nahisi siku hizi tunaachana kisomi zaidi bila kuumizana wala maneno.

Au nadanganya ndugu zangu? Nyinyi mnaonaje breakups za siku hizi?
Naunga hoja
 
Punguza gubu na kupiga mizinga na wewe utaolewa
Hyo syo sababu mkuu
Na sko hvo ata ila tuliachanshwa kwa sababu za kikabila tu japo tulipendana Sana na hyo ndio sababu ya wazazi wake wakaamua kuntafutia mtu mwngne na kupanga mipango ya ndoa kwa haraka
 
Kuna huyu tulikuwaga friends tuu, tukaja tukawekana dudu, dah! si tukawa wapenzi tuka share share vitu kadhaa kibiashara na malengo meengi, ghafla mwenzang naona ananiambia hana amani eti turudi kuwa marafiki wa karibu kama zamani.
Nimemuitikia tuu ila naona haiwezekani, tunaweza kuwa marafiki ila sio wa karibu, nataka kumsahau na kusiwe na ukaribu, iwe simu inazungumzia buiashar tuu na sio mengine ila kitanzi ni hizi business, ambazo tulishare....
 
Kuna mmoja nilimpenda sijawahi penda vile ikafikia timea akaanza kuniona mimi kama vile boya ana cheat anatuma picha zake za uchi namkamata nasamehe nikawa nashindwa kumuacha

Siku moja sijui kapata jitu gani likamchanganya anakuja mara "siwezi date na wewe nakuzidi miaka miwili" we mdogo wangu na time hiyo nimemkula kinyama pamoja na dharau zake na show nilikua namuweka kinyama nikawa nambembeleza akagoma nikatulia kimya ingawa nilikua naumia sio kawaida aisee

Badae akaja tena nimsamehe tuendelee nikakubali kwa sababu kale kairak nilikua nakapenda acha kabisa ....baada ya muda nikaona tabia ni zilezile na mimi nikapiga chini na mpaka leo nilikua naona nimechelewa na hua sielewi moyo na akili vilipata vipi ule ujasiri wa kiwango kile ilikua noma sana na mpaka leo kinanisumbua kinataka kugegedwa na mimi juzi kinasema tukutane dodoma na mimi sipo huko sasa hivi na wala hakuna guts za mimi kuonana nako

Toka hapo sidhani kama ntaumia vile tena haitatokea nahisi kupata sugu moyoni ndio maana sasa hivi huyu wa sasa niko nae kwenye uhusiano mguu ndani mguu nje manake kuna dalili simuelewi na nimeanza kumuahsiria kumuachaView attachment 1765369

Pole kwa mateso bila chuki,umeteseka sana aisee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom