King Rabbit
JF-Expert Member
- Mar 29, 2015
- 736
- 2,673
True fact kabisa hii.Legacy ni masuala ya hela yanayoachwa kwenye mirathi.
Kwenye mapenzi legacy ipo wapi sasa?
True fact kabisa hii.Legacy ni masuala ya hela yanayoachwa kwenye mirathi.
Kwenye mapenzi legacy ipo wapi sasa?
Aah!mkuu mwanamke akikiri mwenyew kuwa ka cheat wala usijipe muda wa kujadiliana nae,huyo tayar keshapata mwngne huko,mpk kukwambia hivo c bahat mbaya ila amedhamiriaSometimes huwa tunawadanganya kwa ajili ya mapenzi, amani, furaha na kupunguza muda wa kujibu maswali.
Just imagine jamaa kasema kweli na anajutia wewe unamwacha hayo mambo c sawa,
Mnachotakiwa wapendanao uongo mwingine hudumisha penzi ( baba wa imani aliwahi tumia uwongo kupata baraka zaidi, pia alituma uwongo huo huo kumtambulisha mke wake Sara ili asichapiwe, ) mtuelewe wapenzi
Sina muda wa kurudiana nae mkuu,wanawake wapo wengiEndelea kujipigia huku ukiendelea na mchakato wa kutafuta usajili mwingine kinyume na hapo ni mateso bila chuki
Nakupenda sana wewe aiseeNdiyo mkuu, huu uzi unaruhusu niwe huku pia
Ahsante mkuu, i do love you too 😍Nakupenda sana wewe aisee
Bado inashangaa.
Ukishindwa ku move on inatakiwa uhamishwe kwa nguvu na vitu kama excavator,wheel loader na mengineyo.
Since mwaka jana mwezi wa 5 mpka leo najarbu ku move on nashindwa na mbaya zaidi nmepata habari soon tu anaoa
Je Kama kala jicho?
Sina muda wa kurudiana nae mkuu,wanawake wapo wengi
Pole sogea tuweke UsawaSince mwaka jana mwezi wa 5 mpka leo najarbu ku move on nashindwa na mbaya zaidi nmepata habari soon tu anaoa
Wow!Ahsante mkuu, i do love you too
Naona kama unanisema au unanifahamu ndgMaumivu ya mapenzi ni noma kaka. Me sijawahi kuachana na mke wangu na sikuwa najua yale maumivu ambayo watu wengi wamekuwa wakiyaimba kila leo. Kuna muda ulifika penzi letu likapitia dhoruba fulani kali, aiseeh acha kabisa yani kazi chungu, Simu chungu, hutamani kufanya chochote kile na usiombe ukutane na picha zake.
Ukiachika, angalau uwe vizuri kiuchumi na uwe na kampani kubwa ya watu wa maana, kidogo inasaidia. Ila ukiachwa alafu uwe fukara daaaah.
Naunga hojaMm nilishawahi kuumizwa na breakup moja tu ya 2017dec.
Baada ya hiyo sidhani kama kuna nyingine itauniumiza.
Afu siku hizi mbona mambo ya kuachana yanabadilika kidigital zaidi? Yaan ni simple mno .
Mara unastukia mtu hajakutafuta siku inapita nyingine inapita ndo basi tena.
Mm nahisi siku hizi tunaachana kisomi zaidi bila kuumizana wala maneno.
Au nadanganya ndugu zangu? Nyinyi mnaonaje breakups za siku hizi?
Hyo syo sababu mkuuPunguza gubu na kupiga mizinga na wewe utaolewa
Kuna mmoja nilimpenda sijawahi penda vile ikafikia timea akaanza kuniona mimi kama vile boya ana cheat anatuma picha zake za uchi namkamata nasamehe nikawa nashindwa kumuacha
Siku moja sijui kapata jitu gani likamchanganya anakuja mara "siwezi date na wewe nakuzidi miaka miwili" we mdogo wangu na time hiyo nimemkula kinyama pamoja na dharau zake na show nilikua namuweka kinyama nikawa nambembeleza akagoma nikatulia kimya ingawa nilikua naumia sio kawaida aisee
Badae akaja tena nimsamehe tuendelee nikakubali kwa sababu kale kairak nilikua nakapenda acha kabisa ....baada ya muda nikaona tabia ni zilezile na mimi nikapiga chini na mpaka leo nilikua naona nimechelewa na hua sielewi moyo na akili vilipata vipi ule ujasiri wa kiwango kile ilikua noma sana na mpaka leo kinanisumbua kinataka kugegedwa na mimi juzi kinasema tukutane dodoma na mimi sipo huko sasa hivi na wala hakuna guts za mimi kuonana nako
Toka hapo sidhani kama ntaumia vile tena haitatokea nahisi kupata sugu moyoni ndio maana sasa hivi huyu wa sasa niko nae kwenye uhusiano mguu ndani mguu nje manake kuna dalili simuelewi na nimeanza kumuahsiria kumuachaView attachment 1765369