MENGELENI KWETU
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 9,548
- 24,159
Kumbuka siku ile alivyoshika chaki na kuanza kuitolea maelezo ile 1.5Tril iliyopigwa...!!
Huyu mtu wa mzaha kabisa.
Kumbuka siku ile alivyoshika chaki na kuanza kuitolea maelezo ile 1.5Tril iliyopigwa...!!
Muongo mkubwa mwingine huyu ili kulinda tumbo lake. Muswaada wa vyama vya siasa lakini hauigusi ccm!!! ccm ni chama cha nini? Cha kucheza madogoli au mganda!? 😳
Njaa mbaya sana Mkuu.