Naunga mkono hiyo move.... JK na watu wake lazima waadabishwe mwanzo mwisho ... Membe, January OUT .... Migoro na Magufuli nao should be OUT soon ... Safari ya Matumaini ipo pale pale ...
Nyie mpeni kura mnayemtaka, lakini wakati muhimu kuliko wote ni wakati wa kuhesabu KURA!! Kwenye chumba cha kuhesabia kura watakuwepo "WENYE CHAMA" na A kuwa B ni jambo la kawaida kwa chama letu! Je mnakumbuka yaliyotokea wakati wa kuhesabu kura wakati wa mkutano mkuu wa CCM 2012?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.