"breaking News"-wabunge Wakataa Umbumbu

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,139
Hii ni ushindi kwa wana JF wote na wote wapendao nchi ya tanzania

HABARI-WABUNGE WAMGOMEA FISADI KARAMAGI
---Wakataa miswada mipya kujadiliwa,mpaka ripoti ya RICHMOND
----Wasema ""tumechoka kuwa mambumbumbu bungeni,,wamzomea na kumwamrisha afunge mjadala ,,
CHANZO=HABARI LEO -4/02/2007

NDUGU WANA JF WOTE HII NIHABARI YA KUFURAHISHA NA KUONYESHA USHINDI UPO NA KAMA AUJAFIKA BASI UNAKARIBIA..KWA MARA YA KWANAZA WABUNGE WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WAMJULISHA WAZIRI KARAMAGI SASA TUMECHOKA KUWA MAMBUMBU......

WABUNGE WA JAMHRI YA MUUNGANO WADANGANYIKA JANA WALIAMUA KUMTOLE A UVIVU WAZIRI NAZIR KARAMAGI WAKATI AKILAZIMISHA KUJADILIWA MSWADA WA TANESCO KUVUNJWA NA KURUHUSU WATU BINAFSI KUSAMBAZA UMEE...HAYO YALISEMWA JANA WAKATI WAZIRI KARAMAGI ALIPOANDAA SEMINA KATIKA UKUMBI WA WABUNGE KUELEZEA MISWADA YA SHERIA YA UMEME NA YA BIASHARA YA MAFUTA,,
WABUNGE HAO WALIDAI WIZARA HAIKUJIANDAA KUKUELEZEA JUU YA SHERIA HIYO NA PI INA LENGO""LA KUWANUFAISHA WATU WACHACHE AMBAO WANATAKA KUENDELESHA BIASHARA YA KUTOA HUDUMA ZA UMEME"
MBUNGE WA MBEA MJINI(CCM)=HATUWEZI KUZUNGUMZA MUSWADA WAKO MPAKA UTULETEE RIPOTI NZIMA YA RICHMOND,nikimnikuu ""mh karamagi mtu akiitwa mbunge ana akili nzuri tulishakuwa mambumbu huko nyuma ,,na tukikosea tena watu watatuita stupid(wajinga),,nani kaipeleka TANESCO ICU,,TUKISHASOMA RIPOTI YA RICHMOND KWA SIKU MBILI NDIPO TUTAJUA HUENDA KUNA MKONO WA MTU ULIOFIKISHA HAPO ILIPO,,,

MHESHIMIWA SANA "MAMA ANNA KILANGO"::Nasema kama mama na mbungehata utuweke hapa kwa siku kumi hatutairuhusu miswada hii wewe waziri umekuwa na richmond ndio unaijua sisi hatuijui tunataka kuijua sasa"alisema mh A.MALECELA.......

MBUNGE WA BUSEGA..DK RAFAEL CHEGENI:::UMEFIKA WAKATI TUFANYE WANANCHI WANACHOTAKA,,BUNGE kuwa rubber stamp(mhuri) sasa basi jamani,umepitwa na wakati,tumechoka kuonekana washenzi kila mara namnukuu..tuiweke pembeni miswada tumalize yaliyo mezani..kuna mikataba mibovu mingi tu kama PTL RICHMOND na kila tulipobinafsisha tumeungua moto tukishindwa kufanya wanachotaka wananchi na tujiuzulu..."""sijui fedha za BOT zimeenda kuunda makampuni ya umeme.inawezekana zimeenda kununua majenereta hatupo tayari kupokea msawada wowote mh,,inaonekana hata ninyi hamjiamini mmekuja na wasiwasinaomba mwenyekitii funga semina yako tukatane bungeni tafadhali mbunge wa CCM LEKULE LAIZE namnkuu

MBUNGE WA KARATU DK W.SLAA::kupitishwa kwa sheria hiyomkutaruhusu ubadhirifu zaidi na kutolea mfano utaratibu wa mikopo ya uagizaji wa bidhaa nje(import support)kati ya 1985-1992zaidi ya makampuni 982yalianzishwa ba mtu mmoja akianzisha kampuni 32 na kusababisha upotevu wa trillion 1 na kwa mazingira ya nchi hayakubali wawekezaji wa umeme
 
wabunge wote wlishauri hakuna mswada utakaopitishwa mpaka richmond kielewekena sehemu walipokosea mkataba wa richmond..kuna uchafu mwingi tu tanescokuna mikino ya watu palekwanza tuisafishe ile ..kuna mikono ya watu kwenye miswada hii ndio maana wabunge tunasita tunakwambia ukweli mheshimiwa ukaweeleze wahusikahatutaki kubeba mizigo zaidi alisema mbunge wa iramba juma kilimbah,,

MBUNGE WA MOSOMA VIJIJINI--CCM::
HAPA KUNA MTU ANATAFUTIWA BISHARA,,HATUNA HAJA YA KUBISHANA,,WAZIRI SIMAMA SEMAUNAAHAIRISHA MSWAADA WAKO TUONDOKE,,,,,

MHESHIMIWA HAMAD--CUF::
IMEFIKA WAKATI SERIKALI ISOME MOOD ZA WABUNGE NA WANANCHI KWA PAMOJANA NDIPO ILETE MISWADA YAO

MHE GEORGE SIMBACHAWENE--CCM:
:NIKIPIGA PICHA TANZANIAIJAYO NACHANGANYIKIWA KUONA WENYE VIWANDA WANAGONGANISHA GLASS ZA WAINI HUKU SERIKALI IKIWA HOUSEBOY,NI BORA NIFE MAPEMA KULIKO KUIONA TANZANIA HIYO....BAAADA YA KUMALIZA KUTOA MADUKUDUKU YAO ALISIMAMA MH MWAKYEMBE.H NA KUOMBA WAZIRI AFUNGE MSEMIAN NAMNUKUU

MH MWAKYEMBE::WAHESHIMIWA WABUNGE NAOMBA WAZIRI AJE AFUNGE SEMINA HII

WABUNGE:::WAZOMEA(((HILOOOOO)) HATUTAKI,,

MH MWAKYEMBE:: BASI NAMWOMBA NAIBU WAZIRI WAKE AJE AWASHUKURU

WABUNGE:::HILOOOOOOO,,,HATUTAMTAKIIIIII

MH MWAKYEMBE:::Hata yeye hammtaki jamani ambaye mlikuwa nae karibuni tu...

WABUNGE:::::Hatumtakiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

MH MWAKYEMBE:::Sasa basi kamati itakutana na mh waziri jumanne namimi nafunga semina hii kama ifuatavyo

hakika watanzania tumeanza kuona mbali wana JF nafikiri hawawa wabunge baada ya kusoma JF na kuonekana wakitukanwa kila siku wajinga washenzi nk sasa wameamua kuonyesha live ,,,
BIG UP WAH WOTE;;;;;;;kazeni mkanda msibadilike na ipo siku wananchi tutaka bila kutumia damu
 
wabunge Waanza Kuzomea Kama Ifuatavyo

Mhe;mwakyembe:::wabunge Tunaomba Waziri Aje Kushukuru

Wabunge::hilooooooooo Hatutakiiiiiiiiiiii

Mhe:mwakyembe::: Basi Naibu Tunaomba Aje Kufunga Semina

Wabunge:::hilooooooo Swiiiiiii Hatutakiiiiiiiiiiiii

Mh Mwakyembe::::hata Huyu Mlikuwa Nae Hivi Karibuni Jamani

Mh Mwakyembe:::basi Waheshimiwa Wabunge Naomba Nifunge Kama Ifuatavyo Kamati Itakaa Na Mh Waziri J4
 
wabunge Waanza Kuzomea Kama Ifuatavyo

Mhe;mwakyembe:::wabunge Tunaomba Waziri Aje Kushukuru

Wabunge::hilooooooooo Hatutakiiiiiiiiiiii

Mhe:mwakyembe::: Basi Naibu Tunaomba Aje Kufunga Semina

Wabunge:::hilooooooo Swiiiiiii Hatutakiiiiiiiiiiiii

Mh Mwakyembe::::hata Huyu Mlikuwa Nae Hivi Karibuni Jamani

Mh Mwakyembe:::basi Waheshimiwa Wabunge Naomba Nifunge Kama Ifuatavyo Kamati Itakaa Na Mh Waziri J4



Kwa muda toka August 2007 nimekuwa nikiwaza na kuwazua; unabii wa Nyerere kuwa upinzani halisi utatoka ccm utatimia vipi aghalabu ccm imejaa watu wasiokubalika. Sikupata jibu. Matukio ya hivi karibuni; kwanza baada ya Prof. Slaa (Hii namwita kwa kuwa ni Mkombozo na Mzalendo wa kweli) kutujulisha mahakama ya mafisadi ni wananchi, na kisha matukio yaliyofuata baada ya zali la Zitto. Kwa manufaa ya wengi, naongelea ziara za mawaziri mikoani zilizoibua kuzomewa, kumwagiwa michanga, kuulizwa maswali magumu na ajali zilizohusishwa na laana ya usaliti. Naona funzo walilopata wabunge wa ccm linaanza kunipa mwangaza wa kina nani wanangaa ndani ya chama cha mafisadi (ccm) kama watu safi na wazalendo wa nchi hii. Hawa si wengine bali:

1. Dr. Mwakyembe,
2. Anna Makinga,
3. Anne Kilango,
4. Seleli

Hivi ndivyo vichwa ambavyo vikitoka ndani ya chama, kwa mtaji wa unadhifu wao ccm itaanguka na si kuyumba. Na wala si Lowassa, Rostam, Kikwete na mafisadi wengine wote ambao sikuwataja. Ukiangalia vizuri utabaini Kina Mama ndiyo mstari wa mbele.

Ili kuwaongezea nguvu, nakuomba Mama Anna Makinda uwasiliane nami. Nakundikia nikiwa mmoja ila nawakilisha maelfu ya wanaokuunga mkono. Tunataka kuwekeza uzalendo wetu kupitia kwako kupambana na dhalimu, fisadi six na wengine. Salamu hizi mfikishie pia Mama Anne Kilango.
 
Hongereni waheshimiwa wabunge kwa kitendo cha kizalendo.Msiburuzwe na yeyote, wananchi tuko nanyi. Asanteni sana..tutafika huko tuendako kwa mwendo huu. Mungu awabariki.
 
Wabunge inabidi wawe makini katika hili suala maana tunakopelekwa Tanzania tutafika mahala watapigwa mawe. Mafisadi wanatengenezewa njia sina uhakika kama wabunge hata moja ya kumi wanamanufaa na UFISADI huu.

Lakini cha kujua katika sakata la UFISADI wananchi wote kuanzia hata ma-director, Maprofessors na watu wengine wengi wanaofanya kazi za umma kwa kupata kipato halali wamechoka kusikia watu wanachota mabilioni na hao ndio watawala wa nchi.

Kuchoka huku kuna gharama zake, na nina uhakika kama wabunge waliowengi wanaopata mshahara potelea mbali chini ya milioni mbili wameliona hili.

Wakati mafisadi wanaelekea kuwa karibu na IKulu wananchi wanatoka hata mijini na kuelekea mabonde kwinama.

Nina uhakika Mwisho wa MAFISADI unatakiwa Ukome mwaka huu. Anayetaka kuiba/kukaa na MAFISADI kuleta mikataba yenye kunufaisha kampuni yake anatakiwa ajue kuwa wakati ukifika hizo hazitakuwa mali zake hila za UMMa
 
Hivi ndivyo vichwa ambavyo vikitoka ndani ya chama, kwa mtaji wa unadhifu wao ccm itaanguka na si kuyumba. Na wala si Lowassa, Rostam, Kikwete na mafisadi wengine wote ambao sikuwataja. Ukiangalia vizuri utabaini Kina Mama ndiyo mstari wa mbele.

Utabiri huu utachukua muda, kwa kuwa mwenyekiti wa sasa ni muumini wa demokrasia ndani ya chama na mtu mwenye kupenda utawala bora... ambapo... mafashist wengi hawataki hivyo...

Kama hawa wabunge hawakemewi kusema kama ilivyokuwa kwa Mh. Ben Mkapa... then hawawezi kutoka ccm... and what will happen upinzani utaendelea kuongozwa na vilaza...
 
Hii kweli inachekesha wawe mbumbu mara ngapi? Unadhani wamebadilika? Hiyo changa la macho.
 
Back
Top Bottom