Siku kadhaa baada ya Aguero ambaye ni mchezaji wa MAN city raia wa ARGENTINA kulalamika kuwa marefa wa uingereza wanatabia ya kuwapendelea wachezaji wa uingereza,utafiti umeibuka na kumuunga mkono Aguero,Utafiti huo ambao ulifanywa na chuo kikuu cha Oxford,Cmabridge na Birminghan umeweka wazi kuwa ni kweli kwa aslimia fulan hawa marefa wanawapendelea wachezaj wa uingereza,utafiti huo ulianagalia mechi 760 na kujridhisha kuwa kuna upendeleo,ila utafiti huo ulifanyika msimu wa 2006/07,na 2007/08
sosi,ukurasa wa facebook wa :bbc swahili
sosi,ukurasa wa facebook wa :bbc swahili