Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 48,936
- 54,157
Hbr wana Jf popote mlipo! Tangu jana hii mitandao miwili imewaweka watu ktk wakati mgumu sana. Maana unaweza kupokea simu kwa muda mchache baada ya hapo hali inakuwa ngumu kana kwamba huna salio. Nimekuwa najiuliza ni ndani ya Mkoa huu lakini kuna jamaa yupo Mtwara nae anadai hali ni tete. Wakuu ni sehemu hizi tu nilizotaja au ni Nchi nzima pia kama kuna mwenye kujua kulikoni ndani ya mitandao hii atujuze. Natanguliza shukrani kwa wana jf wote,week end njema.