Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,712
- 1,906
Wanao umia ni WTZ watakao katwa kodi kubwa kufidia pengo la TANESCO kuwalipa DOWANS upo ndugu????????TANESCO walishakubaliana na DOWANS kwamba purukushani lolote na kisheria likitokea wataenda kushitakiana kwa arbitrators nje ya nchi, kwa maneno mengine, walishadharau mahakama za kwetu, wameenda huko wameshindwa ndio wanarudi kwenye mahakama zetu zitengue hukumu? Jaji amekataa ushenzi na dharau hiyo ya TANESCO, kasema eff that!.
Nina hakika asilimia 99.9 kwamba Jaji lazima ndivyo alivyosema, "mlitaka wenyewe kwenda kushitakiana nje ya nchi, yamewashinda ndio mnaniletea mimi, kwendeni zenu huko." Honorable Judge, great job.