Bowie
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 4,372
- 6,078
Uchaguzi wa kwanza ulifanyika tarehe 8th August 2017 na Mahakama kuu ya nchi hiyo ilitengua matokeo ya uchaguzi huo uliokuwa umempa Rais Uhuru Kenyattta ushindi baada ya kugundulika taratibu zilikiukwa kwenye uchaguzi huo.
Rais Uhuru Kenyattta anategemewa kuapishwa na Jaji yeyote kwa mujibu wa mabadiliko ya katiba yaliyofanywa hivi karibuni na bunge la nchi hiyo.