Breaking news: naibu spika hawa hapa.

Mu-sir

JF-Expert Member
Oct 12, 2010
3,621
1,629
Chama cha mafisadi kimemchagua mheshimiwa Jobb Ndugai kugombea unaibu spika kwa ticket ya chama hicho baada ya kumpitisha kwa kura 197 kati ya kura 198 na kura 1 iliharibika. Waliokuwa wanagombea nafasi hiyo walijitoa kwa sababu tofauti hivyo akabaki peke yake. Na CHADEMA nao wamempitisha bwana Mustapha Akonai kugombea kiti hicho kwa tiketi ya chama hicho. Source Tbc.
 
Thanks for this, Mimi ningekuwa Chadema, tusingependekeza tena jina wakati tuliona kilichotokea kwenye nafasi ya uspika, unless wameteua kutimiza tuu kanuni, Naibu Spika ni Job Ndugai.
 
Nafikiri Job Ndugai si mbaya. Lakini nawashangaa CHADEMA kumpitisha Akonai. Kwanini wasingempitisha mtu ambaye tayari ana uzoefu kidogo na mambo ya Bunge? Japo hata wangempitisha Zitto au Mbowe au hata Shibuda? Ni mawazo tu, msinitie vidole machoni.
 
ok ngoja tusubiri, la mafisadi wataamua kufanya mabadiliko na kufanya maamuzi sahii
 
Thanks for this, Mimi ningekuwa Chadema, tusingependekeza tena jina wakati tuliona kilichotokea kwenye nafasi ya uspika, unless wameteua kutimiza tuu kanuni, Naibu Spika ni Job Ndugai.

mimi nahisi Chadema hawako serious na hii nafasi hata mimi nashangaa kumweka Akonai asiye na uzoefu na mambo ya bunge.
 
Lazima tukubali kuwa bungeni bila wapinzani kuungana itakuwa ni kupoteza muda tu kwani wanawingi wa viti? Kama wangeungana ushindani ungekuwa kidogo thabiti otherwise its like we are fighting a loosing battle. Its like using SMG against M1 or ak 47 there is no tangible effect that your opponent can feel. Only a mere scratch!
 
Lazima tukubali kuwa bungeni bila wapinzani kuungana itakuwa ni kupoteza muda tu kwani wanawingi wa viti? Kama wangeungana ushindani ungekuwa kidogo thabiti otherwise its like we are fighting a loosing battle. Its like using SMG against M1 or ak 47 there is no tangible effect that your opponent can feel. Only a mere scratch!

. Hivi kumbe kuna tofauti kati ya SMG NA AK 47, mi namalizia konyagi yangu. J2 njema.
 
Lazima tukubali kuwa bungeni bila wapinzani kuungana itakuwa ni kupoteza muda tu kwani wanawingi wa viti? Kama wangeungana ushindani ungekuwa kidogo thabiti otherwise its like we are fighting a loosing battle. Its like using SMG against M1 or ak 47 there is no tangible effect that your opponent can feel. Only a mere scratch!

Hata kama wataungana bado CCM wata-vote kama block. Au umeshasahau kuwa vile viti maalum tu vya CCM tayari ni sawa na wabunge wote wa upinzani?.

Cha muhimu hapa ni kwa wabunge wa vyama vyote kuachana na mambo ya u-chama na ku-vote kwa kuangalia maslahi ya taifa na wananchi kwa ujumla ndipo tutapata Naibu spika tumtakaye!
 
Nafikiri Job Ndugai si mbaya. Lakini nawashangaa CHADEMA kumpitisha Akonai. Kwanini wasingempitisha mtu ambaye tayari ana uzoefu kidogo na mambo ya Bunge? Japo hata wangempitisha Zitto au Mbowe au hata Shibuda? Ni mawazo tu, msinitie vidole machoni.

Mbowe na Zitto ni Viongozi wa Upinzani! Hawawezi kugombea tena unaibu Spika! Labda Shibuda angeweza kupendekezwa, Lakini Mustapha Ukonay ni mwanasheria mwandamizi, na haitamchukua muda mrefu to familiarize himself with kanuni za kuendesha Bunge,wakati Anne Makinda hayupo Bungeni.
 
mimi nahisi Chadema hawako serious na hii nafasi hata mimi nashangaa kumweka Akonai asiye na uzoefu na mambo ya bunge.
duuu, ndiyo mambo yale ya uzoefu miaka 60, umri wa mwombaji usizidi miaka miwili
 
Lazima tukubali kuwa bungeni bila wapinzani kuungana itakuwa ni kupoteza muda tu kwani wanawingi wa viti? Kama wangeungana ushindani ungekuwa kidogo thabiti otherwise its like we are fighting a loosing battle. Its like using SMG against M1 or ak 47 there is no tangible effect that your opponent can feel. Only a mere scratch!

Braza hata wakiungana hawawezi kupata majority. Ni bora wakabakia kama ilivyo sasa ili mpinzani wa kweli aonekane na mnafiki aonekane ili 2015 wananchi wasisumbuke sana kumpata mbadala wa ccm, yaani mpinzani wa kweli. Kwanza upinzani utaunganaje wakati wengine wameolewa na ccm na tuliona juzi maalim Seif anashuka ktk benz kali ya kijerumani akiwa ktk msafara rasmi wa kiserikali????
 
Lazima tukubali kuwa bungeni bila wapinzani kuungana itakuwa ni kupoteza muda tu kwani wanawingi wa viti? Kama wangeungana ushindani ungekuwa kidogo thabiti otherwise its like we are fighting a loosing battle. Its like using SMG against M1 or ak 47 there is no tangible effect that your opponent can feel. Only a mere scratch!

Hata wakiungana kura zao ni bado kiduchu na CUF, UDP, TLP na NCCR-MAGEUZI ni CCM-B.....kwa hiyo ni kheri Chadema wakabaki wakiwa pekee yao wakisubiri kukamata dola mwaka 2015...............
 
Nafikiri Job Ndugai si mbaya. Lakini nawashangaa CHADEMA kumpitisha Akonai. Kwanini wasingempitisha mtu ambaye tayari ana uzoefu kidogo na mambo ya Bunge? Japo hata wangempitisha Zitto au Mbowe au hata Shibuda? Ni mawazo tu, msinitie vidole machoni.
Mbowe, zitto na shibuda ni wakubwa sana kuiwezo kufanya kazi chini ya anna ma-kinda
 
CCM walichokipanga ndicho kimetimia sasa waliwaleta wote katika machakato na wamehakikisha wame pita wote Ana Makinda na Job Ndugai
 
Chadema lazima wafanye hivyo ili kuanza kuwatangaza watu wao.

Mie sijawahi hata kumsikia huyu jamaa ila sasa watu wengi watamfahamu.

Inabidi kujenga sura nyingi zinazofahamika kwa Chadema. Wakifanya hivyo, hakuna wanachokosa.
 
Chadema lazima wafanye hivyo ili kuanza kuwatangaza watu wao.

Mie sijawahi hata kumsikia huyu jamaa ila sasa watu wengi watamfahamu.

Inabidi kujenga sura nyingi zinazofahamika kwa Chadema. Wakifanya hivyo, hakuna wanachokosa.
Kamanda

Nadhani kuna haja ya wapinzani kwa ujumla kuungana, au CUF na CCM kuungana tujue moja.... It could be CHADEMA who started haya maishu ya wapinzani kusigana lakini nadhani CUF has taken a wrong turn
 
Sioni kosa la CHADEMA. Askari mzuri upigana mpaka risasi yake ya mwisho. Bravo CHADEMA outcome aint matter but publicity!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom