gari la polisi lilidumbukia kwenye korongo baada ya dreva kushindwa kukata kona wakati msafara wa makamu wa rais ukitokea Lushoto kuelekea Mombo, inasemekana askari wawili walifariki palepale na wengine wanne kujeruiwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.