Mwanaharakatihuru
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 477
- 120
Hadi sasa na post nikiwa katika mstari wa mbele wa kudai haki yetu hapa madale mpaka kieleweke, ofisi ya CCM tumeshabomoa na kitaeleweka tu.
Hadi sasa na post nikiwa katika mstari wa mbele wa kudai haki yetu hapa madale mpaka kieleweke, ofisi ya CCM tumeshabomoa na kitaeleweka tu.
Hadi sasa na post nikiwa katika mstari wa mbele wa kudai haki yetu hapa madale mpaka kieleweke, ofisi ya CCM tumeshabomoa na kitaeleweka tu.
tatizo ni ardhi hakuna kingine, watu wamevamia viwanja vya wenzao
hali ni mbaya watu wanakatana mapanga hovyo, hali ni mbaya jamani