WISTON MWINUKA
Member
- Apr 29, 2012
- 81
- 4
Kijana mmoja jina halijapatika ameunguzwa moto na kupigwa vibaya sana eneo la Mwangata B,manispaa ya Iringa.Polisi bado hawajafika eneo la tukio!Watu wanadai kijana huyu atoke nje ili wamchome tena au kuumua kabisa.Sababu bado haijawekwa wazi ya kwanini kijana huyu amefanyiwa hivi,wapo wanaodai kuwa kijana huyo ni jambazi,Polisi wamefika hapa!