breaking news kwa wanasoka

mkama

Member
Oct 19, 2007
67
10
habari nilizozipata mdahuu nikuwa Carlos ALberto Pereira kaachia ngazi kuifunza timu ya taifa la Sauzi

Sababu ya kuachia anasema mke wake ni mgonjwa hivyo angependa kuwa nae karibu.

Hatahivyo wachambuzi wa mabo wanahisi kaachia kwasababu haoni kama atapata mafanikio makubwa 2010,hii ni kutokanan na maendeleo ya timu kwa sasa kutofanya vizuri kama alivyotegemewa.

Habari zidi tutzipata kesho
 
Makocha was hizi nchi kubwa wengi wanatake advantage ya ubabe was wachezaji wao. Joachim Loew
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom