Breaking News: Kapt. Komba atafutwa na Polisi

Hivi ni nini maana ya Kampeni?... Mkijua hilo maneno yenu marefu yatapungua

Komba hakuwa anafanya kampeni, alikuwa anafanya vurugu.
Soma posti za "Uchaguzi wa Kiteto" upate kuelewa tunaongelea kitu gani!
 
Mwanakijiji,

Pamoja na hayo yote mimi naiiita danganya toto tu. Hakuna kitu atafanywa huyu bwana zaidi ya kuchukuliwa maelezo then imetoka. Let us wait and see and Bravo for the info

umesikia mzee mwanakiji we achana nao hizo za komba kukamatwa ni za kweli ata mm nilisikia pia ila kuna shaka kama kweli wanaweza kumchukulia atua yeyote ya kisheria,si unajua ccm wanavyombeba yule jamaa.tusubiri tuone lkn

Komba hakuwa anafanya kampeni, alikuwa anafanya vurugu.
Soma posti za "Uchaguzi wa Kiteto" upate kuelewa tunaongelea kitu gani!


Jamani ee, huyo Mheshimiwa Komba bado hajakamatwa tu? Mbona kila siku nilikuwa namwaona Bungeni kupitia TBC1 Live?

Kuna mwenye clue kuwa Polisi bado wanamtafuta au wameshindwa kumpata?
Au Polisi inabidi wakumbushwe? Mtandao wa Polisi nilpostieni hapa ili niwaambie Polisi mahali ambapo Mh. Komba alipo.
 
Habari zinazoingia taratibu zinasema kuwa yule mpiga debe maarufu wa CCM Kapt. John Komba anatafutwa na Polisi kutokana na kufanya vurugu kwenye mkutano wa Upinzani. Kesi ya jinai imefunguliwa mjini Kibaya huko Kiteto na baadhi ya viongozi wa upinzani. Kapt. Komba alivamia mkutano wa Chadema ambapo alilazimishwa kushushwa jukwaani na FFU. Kwa mujibu wa sheria ya Uchaguzi ya 1985 (as ammended) ni marufuku kwa mtu kuingilia kampeni za uchaguzi wa chama kingine.
Mod hivi hii habari mpaka sasa hivi ni breaking News?

Hapo utaona jinsi mnavyo angalia upande mmoja tu..Mnaangalia habari zinazohusu CHADEMA na kusahau zingine..ingekuwa Breaking News ya kuibomoa CHADEMA mngekuwa wa kwanza kuja kubadili title
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom