Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,045
- 15,377
Mamlaka ya hifadhi Ngorongoro imeanza kuchambua maombi ya kazi ambazo zilitangazwa. Tayari wameanza kutuma Text msgs kwa waombaji ambao wanakidhi katika kada walizoomba.
Kama kuna feedback zozote tujuzane kupitia uzi huu.
=====================
UPDATES:
Watu wameshaanza kuitwa kwenye usaili kwa waliomba kati katika Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro, kwa kujua zaidi kuhusu usaili pitia hapa; Tangazo la kuitwa kwenye Usaili wa Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro (NCAA)
Kama kuna feedback zozote tujuzane kupitia uzi huu.
=====================
UPDATES:
Watu wameshaanza kuitwa kwenye usaili kwa waliomba kati katika Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro, kwa kujua zaidi kuhusu usaili pitia hapa; Tangazo la kuitwa kwenye Usaili wa Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro (NCAA)