Mathias Byabato
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,020
- 691
Kwa wanaomfahamu samweli luangisa aliyekuwa meya wa Bukoba kwa zaidi ya miaka 20 hatimaye amebwagwa na Bw Anatory Aman katika kinyanganyiro cha kugombea kupitria CCM
Luangisa aliwahi kuwa mkuu wa mkoa baada ya uhuru,mbunge wa Bukoba kwa zaidi ya 20 Ni mwanasiasa wa siku nyingi hivyo kuonmdolewa kwenye nafsasi hiuyoi kwa kupata kura 2 huku mwenzake kura 15 inadhibtisha msemo "hakuna marefu yasiyo kuwa na ncha".
Hata hivyo luangisa amekataa kusaini kwa madai ya mizengwe .
Luangisa aliwahi kuwa mkuu wa mkoa baada ya uhuru,mbunge wa Bukoba kwa zaidi ya 20 Ni mwanasiasa wa siku nyingi hivyo kuonmdolewa kwenye nafsasi hiuyoi kwa kupata kura 2 huku mwenzake kura 15 inadhibtisha msemo "hakuna marefu yasiyo kuwa na ncha".
Hata hivyo luangisa amekataa kusaini kwa madai ya mizengwe .