Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
kuna ajali imetokea muda huu bus la simiyu express likitoka simiyu kuja dar limepinduka na kujeruhi watu 14 na kuuwa 2.
du! wapi hapo?
Toa details ndugu?du! wapi hapo?
kuna ajali imetokea muda huu bus la simiyu express likitoka simiyu kuja dar limepinduka na kujeruhi watu 14 na kuuwa 2.
nani mmiliki wake?Basi linaitwa Fastjet utategemea nini? Nilishawahi kuripoti hapa kwamba haya mabasi ya Simiyu yetu yanakimbia sana....no one cares
kuna ajali imetokea muda huu bus la simiyu express likitoka simiyu kuja dar limepinduka na kujeruhi watu 14 na kuuwa 2.
Eti limepata ajali saa tisa usiku....
Basi linaitwa Fastjet utategemea nini? Nilishawahi kuripoti hapa kwamba haya mabasi ya Simiyu yetu yanakimbia sana....no one cares
Eti limepata ajali saa tisa usiku....
Mbona hueleweki? Baada ya kureport polisi wewe ukaja huku? Unaona sasaBasi linaitwa Fastjet utategemea nini? Nilishawahi kuripoti hapa kwamba haya mabasi ya Simiyu yetu yanakimbia sana....no one cares