tanga kwetu
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 2,193
- 1,434
habari niliyoipata kutoka manispaa ya morogoro ni kwamba katika uchaguzi uliofanyika masaa mawili yaliyopita ya umeya, Mh. Amiri Juma Nondo ndio amekuwa meya mpya wa Manispaa hiyo akiwabwaga wenzake watatu. Manispaa hiyo ina madiwani wooooooote wa CCM.