Mmmmh kwan hapa serikali ngazi ipi unayoilaumu weye?
Hahahaaa....you will never be able to figure out. I'm pretty elusive.
Ngoja nikupe hint ingine. Ngabu Sr. taught Campanero Sr. at the Hill....
nchi inahitaji 'fagio la chuma'!
ps. ulisoma na kitunga srsc?
Yeah...why you ask?
was finalizing lile file la ngabu sr & jr
Hahahaaa....you will never be able to figure out. I'm pretty elusive.
Ngoja nikupe hint ingine. Ngabu Sr. taught Campanero Sr. at the Hill....
faili limeshakamilika, hiyo uliyoongezea nimeiweka kwenye kiambatanisho
Habari zilizotufikia hivi punde ajali kubwa imetokea huko mto ruvu ambapo gari aina ya macppolo imegongana na fuso ambapo maiti zaidi ya tano zimeanza kutolewa kutoka kwenye basi huku wengi wakitolewa wameumia vibaya kwa habari zaidi stay tuned
src
cloudsssssssssssssssssssssssssssssssssssss ffmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmm the plp statioooooooonnnnnnnnnnnnn
Mmmmh kwan hapa serikali ngazi ipi unayoilaumu weye?
JAmani napata tabu sana Mimi na watanzania sisi?
Hivi kila kitu niserikali na CCM nisaidieni kujua hii ni syndrome gani tunayougua mwisho wake tutataka serikali itutilie mimba wake zetu.
Hivi mko ndani ya basi driver anakwenda mnataka serikali ije iwasimamie driver apunguze mwendo?
Unajua huu ni ugonjwa na ndio maana watu wengi tumekua walalamishi tu na huu upumbavu wa Siasa za kibongo wanaotuaminisha kua Wanasiasa watafanya jambo katika maisha yetu ndio yanatufanya mataahira kabisa...
Badilikeni hebu tuache ujinga huu....
Tunahitaji ukombozi wa kifikra....
Mfano!!!!!
Una nyumba ya tembe au udongo , upande mmoja umeanguka na Mtu akipita anaona ndani! Badala ya kufinyanga udongo kwa Maji ukarudishia badala yake unaweka mifuko ya saflat au ya cement ! Wakati udongo hauuzwi ni suala la kuchimba na kukandika kurudishia ukuta...
Sasa huu ni umasikini wa fikra tuliokua nao sisi watanzania kuna mambo tunaona suluhisho lake ni kulaumu serikali badala ya kuchukua hatua ambazo ni Sahihi labda ni ignorance!
Huu ni ujin...
Tubadilike kila kitu serikali na Mkeo nae utataka serikali ikulishie siku moja.
Habari zilizotufikia hivi punde ajali kubwa imetokea huko mto ruvu ambapo gari aina ya macppolo imegongana na fuso ambapo maiti zaidi ya tano zimeanza kutolewa kutoka kwenye basi huku wengi wakitolewa wameumia vibaya kwa habari zaidi stay tuned
src
cloudsssssssssssssssssssssssssssssssssssss ffmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmm the plp statioooooooonnnnnnnnnnnnn
JAmani napata tabu sana Mimi na watanzania sisi?
Hivi kila kitu niserikali na CCM nisaidieni kujua hii ni syndrome gani tunayougua mwisho wake tutataka serikali itutilie mimba wake zetu.
........................................................
............................................................
Badilikeni hebu tuache ujinga huu....
Tunahitaji ukombozi wa kifikra....
Huu ni ujin...
Tubadilike kila kitu serikali na Mkeo nae utataka serikali ikulishie siku moja.
JAmani napata tabu sana Mimi na watanzania sisi?
Hivi kila kitu niserikali na CCM nisaidieni kujua hii ni syndrome gani tunayougua mwisho wake tutataka serikali itutilie mimba wake zetu.
Hivi mko ndani ya basi driver anakwenda mnataka serikali ije iwasimamie driver apunguze mwendo?
Unajua huu ni ugonjwa na ndio maana watu wengi tumekua walalamishi tu na huu upumbavu wa Siasa za kibongo wanaotuaminisha kua Wanasiasa watafanya jambo katika maisha yetu ndio yanatufanya mataahira kabisa...
Badilikeni hebu tuache ujinga huu....
Tunahitaji ukombozi wa kifikra....
Mfano!!!!!
Una nyumba ya tembe au udongo , upande mmoja umeanguka na Mtu akipita anaona ndani! Badala ya kufinyanga udongo kwa Maji ukarudishia badala yake unaweka mifuko ya saflat au ya cement ! Wakati udongo hauuzwi ni suala la kuchimba na kukandika kurudishia ukuta...
Sasa huu ni umasikini wa fikra tuliokua nao sisi watanzania kuna mambo tunaona suluhisho lake ni kulaumu serikali badala ya kuchukua hatua ambazo ni Sahihi labda ni ignorance!
Huu ni ujin...
Tubadilike kila kitu serikali na Mkeo nae utataka serikali ikulishie siku moja.
Hivi zile leseni mpya za udereva wa magari purpose yake hasa ni nini?