BREAK NEWS: Mbagala Kwa Mangaya Nyumba 15 zatolewa Paa na Upepo Mkali

mgt software

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
13,767
7,115
Habari nilizozipata hivi punde, Mbagara kwa Mangaye nyumba zinazidi kuezuliwa na upepo mkali, wakazi wengi wap nje wanaangaika kusubiri hatima ya
Nitawaeleza zaidi

Source simu kutoka kwa mfanyakazi wa huko nyumba yake ni miongoni
 
Malaria Sugu, jamaa yetu sijui kama kasalimika!
Nasikia Malaria Sugu, huwa anakaa Mbagala Magaye!
 
yaani noma matofali yanaanguka ovyo, hakuna taarifa za vifo ila mabati yamewajerui
 
hapa ndio inakamilisha yale maneno ya jana kwenye kipindi cha malumbano ya hoja ITV...

pole sana na pia msisahau kutumia twiga cement wakati mnarekebisha nyumba zenu..
 
...iihshh..! tupiamo na kapicha basi mkuu,poleni wazee wa mbagala...!
 
Back
Top Bottom