Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,596
- 45,220
Hi,.hope weekend iko njema...
Tangu wiki iliyopita nikiwa road,nikikanyaga brake nahisi umoto kwenye nyayo na joto hupanda kadri ninavyokanyaga brake,.nimeogopa hata sielewi shida ni nini...
Nilipeleka kwa fundi wetu kitaa naona bado hali iko vilevile...nimeamua kuliacha kwa muda naogopa kulipukiwa...najua wataalam humu mpo naomba hata ushauri tuu tatizo laweza kuwa ni nini,au fundi/garage ipi nzuri tatizo hili likaisha kwa maeneo ya Dar..
Aina ya gari ni toyota allion..
Shukrani.
Tangu wiki iliyopita nikiwa road,nikikanyaga brake nahisi umoto kwenye nyayo na joto hupanda kadri ninavyokanyaga brake,.nimeogopa hata sielewi shida ni nini...
Nilipeleka kwa fundi wetu kitaa naona bado hali iko vilevile...nimeamua kuliacha kwa muda naogopa kulipukiwa...najua wataalam humu mpo naomba hata ushauri tuu tatizo laweza kuwa ni nini,au fundi/garage ipi nzuri tatizo hili likaisha kwa maeneo ya Dar..
Aina ya gari ni toyota allion..
Shukrani.