Wanabodi, kama heading inavyosomeka:
TLS- Tanganyika law society na wanasheria wengine, tuleteeni Test case dhidi ya NEC jinsi walivyooendesha uchaguzi huu chonde chonde.
Tunafahamu kwamba, katika katiba yetu hii ya 1977, "the legitimacy of presidential elections results cannot be questioned in any court of law regardless of the irregularities, illegality or fraud". This means civil disobedience is the only way to reject flawed poll results.
Lakini kabla ya kwenda huko kwenye civil disobediences:
1. Ni kwa nini TLS- Tanganyika law society (pro bono) na wanasheria wengine wasiende kuhoji mahakamani kwamba hiki kipengere ni unconstitutional maana kina breach fundamental rights and Freedoms guaranteed under our constitution and laws therein na kwamba ni NEC ndio wame breach hizo fundamental freedoms and rights na hivi wamefanya kitu ambacho hakiendani na rights, freedoms na credibilities za uchaguzi...
2. The breaches to the right to free, fair and credible election. Kwenda mahakamani ni kuomba muongozo wa hii breach of fundamental rights and freedom sio ku-question legitimacy of presidential elections results. Kwa maana nyingine kama kuna breaches yeyote ya hiyo fundamental freedoms by NEC, athari yake ni kufutwa kwa matokeo yote ya uchaguzi bila mkwaruzo...
3. Cha kutakiwa ni kwenda tu mahakamani kusema kwamba NEC wame- breach fundamental rights and freedoms zinazohusiana na uchaguzi juu ya free, fair and credible election na sio mambo mengineyo ( Mfano wa breaches hizo ni kura kupigwa kabla ya wakati, mawakala kuzuiliwa, haya hayahusiani na irregularties au fraud, but ni wizi ambao hautakiwi kisheria)... na tuone mahakama itasimamia upande gani kama inakubaliana na breaches hizo za fundamental rights and freedom za uchaguzi...Wanasheria, amkeni na changamkeni...hata UN sec council iliwahi kubwagwa na mahakama ya ulaya- someni Kadi case 1-2- summary yake ni hii hapa: Kadi Case – Constitutional Core Values and International Law – Finding the Balance?
4. Mwisho, kwa NEC kuegemea sana upande mmoja maana yake- wali- exceed scope of their authority - acted ultra vires... hii ni hoja Nyingine ya Kuwatoa kwenye mstari
Kadi Case – Constitutional Core Values and International Law – Finding the Balance?
Povu ruksa
TLS- Tanganyika law society na wanasheria wengine, tuleteeni Test case dhidi ya NEC jinsi walivyooendesha uchaguzi huu chonde chonde.
Tunafahamu kwamba, katika katiba yetu hii ya 1977, "the legitimacy of presidential elections results cannot be questioned in any court of law regardless of the irregularities, illegality or fraud". This means civil disobedience is the only way to reject flawed poll results.
Lakini kabla ya kwenda huko kwenye civil disobediences:
1. Ni kwa nini TLS- Tanganyika law society (pro bono) na wanasheria wengine wasiende kuhoji mahakamani kwamba hiki kipengere ni unconstitutional maana kina breach fundamental rights and Freedoms guaranteed under our constitution and laws therein na kwamba ni NEC ndio wame breach hizo fundamental freedoms and rights na hivi wamefanya kitu ambacho hakiendani na rights, freedoms na credibilities za uchaguzi...
2. The breaches to the right to free, fair and credible election. Kwenda mahakamani ni kuomba muongozo wa hii breach of fundamental rights and freedom sio ku-question legitimacy of presidential elections results. Kwa maana nyingine kama kuna breaches yeyote ya hiyo fundamental freedoms by NEC, athari yake ni kufutwa kwa matokeo yote ya uchaguzi bila mkwaruzo...
3. Cha kutakiwa ni kwenda tu mahakamani kusema kwamba NEC wame- breach fundamental rights and freedoms zinazohusiana na uchaguzi juu ya free, fair and credible election na sio mambo mengineyo ( Mfano wa breaches hizo ni kura kupigwa kabla ya wakati, mawakala kuzuiliwa, haya hayahusiani na irregularties au fraud, but ni wizi ambao hautakiwi kisheria)... na tuone mahakama itasimamia upande gani kama inakubaliana na breaches hizo za fundamental rights and freedom za uchaguzi...Wanasheria, amkeni na changamkeni...hata UN sec council iliwahi kubwagwa na mahakama ya ulaya- someni Kadi case 1-2- summary yake ni hii hapa: Kadi Case – Constitutional Core Values and International Law – Finding the Balance?
4. Mwisho, kwa NEC kuegemea sana upande mmoja maana yake- wali- exceed scope of their authority - acted ultra vires... hii ni hoja Nyingine ya Kuwatoa kwenye mstari
Kadi Case – Constitutional Core Values and International Law – Finding the Balance?
Povu ruksa