Brazil vs Tanzania: Tofauti kati ya uchaguzi wa Oct. 31
Tafakari,
Tanzania na Brazil zote zilifanya uchaguzi wa Rais siku moja ya Jumapili, October 31, 2010.
Tanzania ina population isiyozidi watu milioni 44 na ina idadi ya wapiga kura kama milioni 20.
Brazil ina population ya watu milioni 200 na watu waliojiandikisha kupiga kura ni 135 milioni.
Brazil turnout ilikuwa 82 percent, Tanzania ilikuwa 43 percent.
Matokeo kamili ya kura za Urais Brazil yenye wapiga kura 135 milioni yalitangazwa siku MOJA tu baada ya uchaguzi (November 1, 2010).
Tanzania, ambayo watu waliopiga kura walikuwa kama milioni 8 tu, ilitangaza matokeo kamili ya kura za Rais Novemba 5, siku TANO baada ya uchaguzi.
Kikwete aliapishwa siku 1 tu baada ya kutangazwa mshindi wa uchaguzi kutokana na hofu ya watu kupinga matokeo ya kura za wizi.
Rais mpya wa Brazil ataapishwa Januari 1, 2011, wakati matokeo yalitolewa Novemba 1, 2010. Hii itakuwa ni miezi MIWILI tangu matokeo yatangazwe. Rais wa Brazil alipata ushindi wa halali wa 55% ya kura. Kikwete alipata ushindi wa wizi wa 61% ya kura.
Tunaelewa sana kuwa Brazil iko dunia nyingine kiuchumi na maendeleo kufananisha na Tanzania and it has strategic importance to the Americans kuliko Tanzania.
Lakini kwa kutambua kuwa uchaguzi wa Brazil ulikuwa huru na haki na hakuna wizi wa kura kama Tanzania, Rais Obama siku hiyo hiyo ambayo matokeo ya kura za Rais yalitangazwa alimpigia simu yeye mwenyewe Rais mteule wa Brazil kumpa hongera.
Kwa upande wa Tanzania, baada ya kuona wizi mkubwa wa kura uliofanywa na mizengwe kwenye matokeo hasa ya kura za Rais, Obama hajampongeza Kikwete kwa ushindi.
Badala yake, amewapongeza Watanzania kwa kukamilisha uchaguzi kwa amani. Lakini amempongeza Shein kwa ushindi kwa kutambua kuwa uchaguzi wa Zanzibar ulikuwa credible kuliko wa Tanzania.
Wadadisi wa duru za kidiplomasia wanasema kitendo cha Obama kuipongeza Tanzania na si Kikwete mwenyewe ni ishara kuwa Marekani hairidhiki na matokeo ya uchaguzi huo.
Obama alituma salamu hizo za kuipongeza Tanzania na siyo Kikwete Novemba 13, 2010, siku 7 baada ya kuapishwa kwake.
Hii ni ishara tosha kuwa viongozi wa dunia wanaamini kuwa ushindi wa Kikwete haukuwa wa haki na ameiba kura.
Kuna tetesi kuwa Rais Obama sasa ameahirisha mpango wake wa kuja Tanzania na badala yake anaweza kwenda Zanzibar peke yake kama akiamua kuja.
Tafakari,
Tanzania na Brazil zote zilifanya uchaguzi wa Rais siku moja ya Jumapili, October 31, 2010.
Tanzania ina population isiyozidi watu milioni 44 na ina idadi ya wapiga kura kama milioni 20.
Brazil ina population ya watu milioni 200 na watu waliojiandikisha kupiga kura ni 135 milioni.
Brazil turnout ilikuwa 82 percent, Tanzania ilikuwa 43 percent.
Matokeo kamili ya kura za Urais Brazil yenye wapiga kura 135 milioni yalitangazwa siku MOJA tu baada ya uchaguzi (November 1, 2010).
Tanzania, ambayo watu waliopiga kura walikuwa kama milioni 8 tu, ilitangaza matokeo kamili ya kura za Rais Novemba 5, siku TANO baada ya uchaguzi.
Kikwete aliapishwa siku 1 tu baada ya kutangazwa mshindi wa uchaguzi kutokana na hofu ya watu kupinga matokeo ya kura za wizi.
Rais mpya wa Brazil ataapishwa Januari 1, 2011, wakati matokeo yalitolewa Novemba 1, 2010. Hii itakuwa ni miezi MIWILI tangu matokeo yatangazwe. Rais wa Brazil alipata ushindi wa halali wa 55% ya kura. Kikwete alipata ushindi wa wizi wa 61% ya kura.
Tunaelewa sana kuwa Brazil iko dunia nyingine kiuchumi na maendeleo kufananisha na Tanzania and it has strategic importance to the Americans kuliko Tanzania.
Lakini kwa kutambua kuwa uchaguzi wa Brazil ulikuwa huru na haki na hakuna wizi wa kura kama Tanzania, Rais Obama siku hiyo hiyo ambayo matokeo ya kura za Rais yalitangazwa alimpigia simu yeye mwenyewe Rais mteule wa Brazil kumpa hongera.
Kwa upande wa Tanzania, baada ya kuona wizi mkubwa wa kura uliofanywa na mizengwe kwenye matokeo hasa ya kura za Rais, Obama hajampongeza Kikwete kwa ushindi.
Badala yake, amewapongeza Watanzania kwa kukamilisha uchaguzi kwa amani. Lakini amempongeza Shein kwa ushindi kwa kutambua kuwa uchaguzi wa Zanzibar ulikuwa credible kuliko wa Tanzania.
Wadadisi wa duru za kidiplomasia wanasema kitendo cha Obama kuipongeza Tanzania na si Kikwete mwenyewe ni ishara kuwa Marekani hairidhiki na matokeo ya uchaguzi huo.
Obama alituma salamu hizo za kuipongeza Tanzania na siyo Kikwete Novemba 13, 2010, siku 7 baada ya kuapishwa kwake.
Hii ni ishara tosha kuwa viongozi wa dunia wanaamini kuwa ushindi wa Kikwete haukuwa wa haki na ameiba kura.
Kuna tetesi kuwa Rais Obama sasa ameahirisha mpango wake wa kuja Tanzania na badala yake anaweza kwenda Zanzibar peke yake kama akiamua kuja.