beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Rais Jair Bolsonaro ametishia kuitoa nchi hiyo kwenye uanachama wa Shirika la Afya (WHO) baada ya Shirika hilo kuionya kuhusu kulegeza masharti kabla ya kudhibiti maambukizi ya #CoronaVirus
Kauli yake inakuja baada ya Msemaji wa Shirika hilo Margaret Harris kusema hali ya mlipuko wa #COVID19 Amerika Kusini inatia wasiwasi
Rais Bolsonaro amelituhumu Shirika hilo kuendeshwa kisiasa akisema anafikiria kuiondoa Brazil WHO isopoacha kufanya kazi bila upendeleo wa kiitikadi
Brazil imerekodi visa 646,006 na vifo 35,047, wagonjwa 302,084 wamepona
====
President Jair Bolsonaro threatened to pull Brazil out of the WHO after the United Nations agency warned governments about the risk of lifting lockdowns before slowing the spread of the novel coronavirus.
Speaking to journalists, Bolsonaro accused the WHO of being "partisan" and "political". He said Brazil will consider leaving the body unless it ceased to work "without ideological bias".
Earlier on Friday, when asked about efforts to loosen social-distancing orders in Brazil despite rising daily death rates and diagnoses, a WHO spokeswoman said a key criteria for lifting lockdowns was slowing transmission.
"The epidemic, the outbreak, in Latin America is deeply, deeply concerning," Margaret Harris told a news conference in Geneva. She said that among six key criteria for easing quarantines, "one of them is ideally having your transmission declining."
Source: Al Jazeera
Kauli yake inakuja baada ya Msemaji wa Shirika hilo Margaret Harris kusema hali ya mlipuko wa #COVID19 Amerika Kusini inatia wasiwasi
Rais Bolsonaro amelituhumu Shirika hilo kuendeshwa kisiasa akisema anafikiria kuiondoa Brazil WHO isopoacha kufanya kazi bila upendeleo wa kiitikadi
Brazil imerekodi visa 646,006 na vifo 35,047, wagonjwa 302,084 wamepona
====
President Jair Bolsonaro threatened to pull Brazil out of the WHO after the United Nations agency warned governments about the risk of lifting lockdowns before slowing the spread of the novel coronavirus.
Speaking to journalists, Bolsonaro accused the WHO of being "partisan" and "political". He said Brazil will consider leaving the body unless it ceased to work "without ideological bias".
Earlier on Friday, when asked about efforts to loosen social-distancing orders in Brazil despite rising daily death rates and diagnoses, a WHO spokeswoman said a key criteria for lifting lockdowns was slowing transmission.
"The epidemic, the outbreak, in Latin America is deeply, deeply concerning," Margaret Harris told a news conference in Geneva. She said that among six key criteria for easing quarantines, "one of them is ideally having your transmission declining."
Source: Al Jazeera