Bravo Rais Magufuli, umedhihirisha uhuru wa Mahakama nchini

Team JPM

JF-Expert Member
Nov 11, 2018
1,074
1,608
Kitendo cha Mheshimiwa RAIS kumlipia faini Mchungaji Msigwa ili atoke gerezani, kimedhihirisha Uhuru wa mahakama nchini Tanzania.

Mheshimiwa Rais ambaye ndiye humteua mwendesha Mashtaka(DPP), Majaji na kuwaapisha mawakili angeweza tu kuagiza Mchungaji Msigwa

a) Afutiwe mashtaka au
b) Aachiwe huru bila faini
c) Aachiwe Huru kwa dhamana n.k

Mheshimiwa Rais, hakuingilia Uhuru wa mahakama kwa kuruhusu mwenendo wa kesi ufikie Mwisho.

Katika nchi zisizoruhusu Uhuru wa mahakama. Mheshimiwa Rais hawezi kulipa faini ili kumnusuru ndugu yake na kifungo wala ndugu wa Rais hawezi kushtakiwa wala kutuhumiwa.

Hata kwa Dokta Mashinji aliyehamia CCM kutoka Chadema, katika nchi majirani zetu, kamwe asingeweza kuhukumiwa, kulala gerezani wala kudaiwa faini.

Mheshimiwa Rais, umetudhihirishia watanzania na Dunia kwa ujumla kwamba, Mahakama za Tanzania zipo huru, nawe unaunga mkono Uhuru wa Mahakama.

Mara zote unapoapisha mawakili na kuteua majaji, umekuwa ukihimiza haki, uwajibikaji na uzalendo kwa mhimili wa Mahakama. Ndio maana nasema.

Bravo Mheshimiwa Rais, kudhihirisha Uhuru wa Mahakama nchini, Watanzania tumuunge mkono
 
Kitendo cha Mheshimiwa RAIS kumlipia faini Mchungaji Msigwa ili atoke gerezani, kimedhihirisha Uhuru wa mahakama nchini Tanzania.
Mheshimiwa Rais ambaye ndiye humteua mwendesha Mashtaka(DPP), Majaji na kuwaapisha mawakili angeweza tu kuagiza Mchungaji Msigwa
a) Afutiwe mashtaka au
b) Aachiwe huru bila faini
c) Aachiwe Huru kwa dhamana n.k
Mheshimiwa Rais, hakuingilia Uhuru wa mahakama kwa kuruhusu mwenendo wa kesi ufikie Mwisho.
Katika nchi zisizoruhusu Uhuru wa mahakama. Mheshimiwa Rais hawezi kulipa faini ili kumnusuru ndugu yake na kifungo wala ndugu wa Rais hawezi kushtakiwa wala kutuhumiwa.
Hata kwa Dokta Mashinji aliyehamia CCM kutoka Chadema, katika nchi majirani zetu, kamwe asingeweza kuhukumiwa, kulala gerezani wala kudaiwa faini.
Mheshimiwa Rais, umetudhihirishia watanzania na Dunia kwa ujumla kwamba, Mahakama za Tanzania zipo huru, nawe unaunga mkono Uhuru wa mahakama.
Mara zote unapoapisha mawakili na kuteua majaji, umekuwa ukihimiza haki, uwajibikaji na uzalendo kwa mhimili wa Mahakama. Ndomaana nasema. Bravo Mheshimiwa Rais, kudhihirisha Uhuru wa Mahakama nchini, Watanzania tumuunge mkono
Embarrassing

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mataga kuweni serious na maisha..umeandika upuuzi.
Kitendo cha Mheshimiwa RAIS kumlipia faini Mchungaji Msigwa ili atoke gerezani, kimedhihirisha Uhuru wa mahakama nchini Tanzania.
Mheshimiwa Rais ambaye ndiye humteua mwendesha Mashtaka(DPP), Majaji na kuwaapisha mawakili angeweza tu kuagiza Mchungaji Msigwa
a) Afutiwe mashtaka au
b) Aachiwe huru bila faini
c) Aachiwe Huru kwa dhamana n.k
Mheshimiwa Rais, hakuingilia Uhuru wa mahakama kwa kuruhusu mwenendo wa kesi ufikie Mwisho.
Katika nchi zisizoruhusu Uhuru wa mahakama. Mheshimiwa Rais hawezi kulipa faini ili kumnusuru ndugu yake na kifungo wala ndugu wa Rais hawezi kushtakiwa wala kutuhumiwa.
Hata kwa Dokta Mashinji aliyehamia CCM kutoka Chadema, katika nchi majirani zetu, kamwe asingeweza kuhukumiwa, kulala gerezani wala kudaiwa faini.
Mheshimiwa Rais, umetudhihirishia watanzania na Dunia kwa ujumla kwamba, Mahakama za Tanzania zipo huru, nawe unaunga mkono Uhuru wa mahakama.
Mara zote unapoapisha mawakili na kuteua majaji, umekuwa ukihimiza haki, uwajibikaji na uzalendo kwa mhimili wa Mahakama. Ndomaana nasema. Bravo Mheshimiwa Rais, kudhihirisha Uhuru wa Mahakama nchini, Watanzania tumuunge mkono

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona humjibu mchungaji Msigwa?
Majibu tafadhali
 

Attachments

  • 89819500_2879218792165997_5745420113121640448_n.mp4
    1.8 MB
Kitendo cha Mheshimiwa RAIS kumlipia faini Mchungaji Msigwa ili atoke gerezani, kimedhihirisha Uhuru wa mahakama nchini Tanzania.
Mheshimiwa Rais ambaye ndiye humteua mwendesha Mashtaka(DPP), Majaji na kuwaapisha mawakili angeweza tu kuagiza Mchungaji Msigwa
a) Afutiwe mashtaka au
b) Aachiwe huru bila faini
c) Aachiwe Huru kwa dhamana n.k
Mheshimiwa Rais, hakuingilia Uhuru wa mahakama kwa kuruhusu mwenendo wa kesi ufikie Mwisho.
Katika nchi zisizoruhusu Uhuru wa mahakama. Mheshimiwa Rais hawezi kulipa faini ili kumnusuru ndugu yake na kifungo wala ndugu wa Rais hawezi kushtakiwa wala kutuhumiwa.
Hata kwa Dokta Mashinji aliyehamia CCM kutoka Chadema, katika nchi majirani zetu, kamwe asingeweza kuhukumiwa, kulala gerezani wala kudaiwa faini.
Mheshimiwa Rais, umetudhihirishia watanzania na Dunia kwa ujumla kwamba, Mahakama za Tanzania zipo huru, nawe unaunga mkono Uhuru wa mahakama.
Mara zote unapoapisha mawakili na kuteua majaji, umekuwa ukihimiza haki, uwajibikaji na uzalendo kwa mhimili wa Mahakama. Ndomaana nasema. Bravo Mheshimiwa Rais, kudhihirisha Uhuru wa Mahakama nchini, Watanzania tumuunge mkono
Hili sakata limeshaharibika sana Polepole amekiabisha chama na Taasisi ya Urais, sasa mnavyozidi kuliremba ndiyo mnaharibu. Hivi huko CCM hakuna wenye busara kuwashauri mlipotezee ili life natural death kama yalivyokufa mengine? Mtu akishakufa maiti hata muirembe vipi,mupulizie perfume gani, muiweke kwenye jeneza la dhahabu hatima yake ni futi sita chini ya ardhi.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Kitendo cha Mheshimiwa RAIS kumlipia faini Mchungaji Msigwa ili atoke gerezani, kimedhihirisha Uhuru wa mahakama nchini Tanzania.
Mheshimiwa Rais ambaye ndiye humteua mwendesha Mashtaka(DPP), Majaji na kuwaapisha mawakili angeweza tu kuagiza Mchungaji Msigwa
a) Afutiwe mashtaka au
b) Aachiwe huru bila faini
c) Aachiwe Huru kwa dhamana n.k
Mheshimiwa Rais, hakuingilia Uhuru wa mahakama kwa kuruhusu mwenendo wa kesi ufikie Mwisho.
Katika nchi zisizoruhusu Uhuru wa mahakama. Mheshimiwa Rais hawezi kulipa faini ili kumnusuru ndugu yake na kifungo wala ndugu wa Rais hawezi kushtakiwa wala kutuhumiwa.
Hata kwa Dokta Mashinji aliyehamia CCM kutoka Chadema, katika nchi majirani zetu, kamwe asingeweza kuhukumiwa, kulala gerezani wala kudaiwa faini.
Mheshimiwa Rais, umetudhihirishia watanzania na Dunia kwa ujumla kwamba, Mahakama za Tanzania zipo huru, nawe unaunga mkono Uhuru wa mahakama.
Mara zote unapoapisha mawakili na kuteua majaji, umekuwa ukihimiza haki, uwajibikaji na uzalendo kwa mhimili wa Mahakama. Ndomaana nasema. Bravo Mheshimiwa Rais, kudhihirisha Uhuru wa Mahakama nchini, Watanzania tumuunge mkono
.

Hakuna uhusiano wowote na Uhuru wa mahakama katika hili swala.
Swala lenyewe lina sura ya kisiasa zaidi. Na matumizi ya nguvu dhidi ya wakosoaji.

Na Inaonekana kama CCM kupitia kitengo chao cha propaganda kinachoendeshwa na HP, wameona kua "Mashinji Amepwaya" katika kuiuza CCM katika Jamii ya Watanzania vile walitarajia ili kuwaumiza CDM. wamejikuta wakitamani angalau wawe na wana CCM mwingine aliyefungwa ili nao wenyewe wafanye kumtoa kwa kupitia michango ili kujitangaza zaidi na kujisafisha kwenye media zote.

Hapo kabla Waliamini Wapinzani wangegeuka 'public joke' machoni pa watanzania kupitia kifungo na adhabu waliyopewa na Mahakama.

Na wale aliowaalika Ikulu ndio wangeonekana bora kwa kulamba kiatu.

Inaonyesha swala hili limeiimarisha Chadema kuliko mganga wao(CCM) alivyowatabiria.

Na mbele ya international community limeibua criticisms dhidi ya uongozi wa huyu Bwana na jinsi anavyochukuliana na wapinzani wa Serikali yake. Na limehamsha public sympathy kwa Chadema na wapinzani kwa ujumla.
 
Ukitaka CCM wakutukane kila aina ya tusi waambie wakuonyeshe slip ya bank waliyomfanyia Mashiji malipo ya kumnunua kutoka gerezani.
 
Kitendo cha Mheshimiwa RAIS kumlipia faini Mchungaji Msigwa ili atoke gerezani, kimedhihirisha Uhuru wa mahakama nchini Tanzania.
Mheshimiwa Rais ambaye ndiye humteua mwendesha Mashtaka(DPP), Majaji na kuwaapisha mawakili angeweza tu kuagiza Mchungaji Msigwa
a) Afutiwe mashtaka au
b) Aachiwe huru bila faini
c) Aachiwe Huru kwa dhamana n.k
Mheshimiwa Rais, hakuingilia Uhuru wa mahakama kwa kuruhusu mwenendo wa kesi ufikie Mwisho.
Katika nchi zisizoruhusu Uhuru wa mahakama. Mheshimiwa Rais hawezi kulipa faini ili kumnusuru ndugu yake na kifungo wala ndugu wa Rais hawezi kushtakiwa wala kutuhumiwa.
Hata kwa Dokta Mashinji aliyehamia CCM kutoka Chadema, katika nchi majirani zetu, kamwe asingeweza kuhukumiwa, kulala gerezani wala kudaiwa faini.
Mheshimiwa Rais, umetudhihirishia watanzania na Dunia kwa ujumla kwamba, Mahakama za Tanzania zipo huru, nawe unaunga mkono Uhuru wa mahakama.
Mara zote unapoapisha mawakili na kuteua majaji, umekuwa ukihimiza haki, uwajibikaji na uzalendo kwa mhimili wa Mahakama. Ndomaana nasema. Bravo Mheshimiwa Rais, kudhihirisha Uhuru wa Mahakama nchini, Watanzania tumuunge mkono
mnadhani Pompeo ana akili za tope kama "team njaa kali" ya Lumumba.

uchaguzi mwaka huu ni hivi..

CCM+polisi VS upinzani+umma+beberus
 
Kitendo cha Mheshimiwa RAIS kumlipia faini Mchungaji Msigwa ili atoke gerezani, kimedhihirisha Uhuru wa mahakama nchini Tanzania.

Mheshimiwa Rais ambaye ndiye humteua mwendesha Mashtaka(DPP), Majaji na kuwaapisha mawakili angeweza tu kuagiza Mchungaji Msigwa

a) Afutiwe mashtaka au
b) Aachiwe huru bila faini
c) Aachiwe Huru kwa dhamana n.k

Mheshimiwa Rais, hakuingilia Uhuru wa mahakama kwa kuruhusu mwenendo wa kesi ufikie Mwisho.

Katika nchi zisizoruhusu Uhuru wa mahakama. Mheshimiwa Rais hawezi kulipa faini ili kumnusuru ndugu yake na kifungo wala ndugu wa Rais hawezi kushtakiwa wala kutuhumiwa.

Hata kwa Dokta Mashinji aliyehamia CCM kutoka Chadema, katika nchi majirani zetu, kamwe asingeweza kuhukumiwa, kulala gerezani wala kudaiwa faini.

Mheshimiwa Rais, umetudhihirishia watanzania na Dunia kwa ujumla kwamba, Mahakama za Tanzania zipo huru, nawe unaunga mkono Uhuru wa Mahakama.

Mara zote unapoapisha mawakili na kuteua majaji, umekuwa ukihimiza haki, uwajibikaji na uzalendo kwa mhimili wa Mahakama. Ndio maana nasema.

Bravo Mheshimiwa Rais, kudhihirisha Uhuru wa Mahakama nchini, Watanzania tumuunge mkono
Uhuru wa Mahakama uko wapi? Ile kesi ni ya akilazimisha tu. Ushahidi uliotolewa wala hautoshelezi kumtia mtuhumiwa hatiani. Hukumu imeandikwa na Jaji Kiongozi Eleazar Feleshi na Hakimu Mkazi Tomas Simba kaambiwa asome tu. Yote haya ni maelekezo ya Magufuli. Tanzania haina Mahakama uhuru wala utawala wa Sheria bali ni Jamhuri ya Polisi.
 
Kesi
Uhuru wa Mahakama uko wapi? Ile kesi ni ya akilazimisha tu. Ushahidi uliotolewa wala hautoshelezi kumtia mtuhumiwa hatiani. Hukumu imeandikwa na Jaji Kiongozi Eleazar Feleshi na Hakimu Mkazi Tomas Simba kaambiwa asome tu. Yote haya ni maelekezo ya Magufuli. Tanzania haina Mahakama uhuru wala utawala wa Sheria bali ni Jamhuri ya Polisi.
Kesi ilisikilizwa hadharani na ushahidi ukatolewa hadharani, wakili wa utetezi , Kibatala aliiomba Mahakama itoe adhabu ya faini badala ya faini na kifungo, Kama wakili alikiri, wewe je?
 
Kitendo cha Mheshimiwa RAIS kumlipia faini Mchungaji Msigwa ili atoke gerezani, kimedhihirisha Uhuru wa mahakama nchini Tanzania.

Mheshimiwa Rais ambaye ndiye humteua mwendesha Mashtaka(DPP), Majaji na kuwaapisha mawakili angeweza tu kuagiza Mchungaji Msigwa

a) Afutiwe mashtaka au
b) Aachiwe huru bila faini
c) Aachiwe Huru kwa dhamana n.k

Mheshimiwa Rais, hakuingilia Uhuru wa mahakama kwa kuruhusu mwenendo wa kesi ufikie Mwisho.

Katika nchi zisizoruhusu Uhuru wa mahakama. Mheshimiwa Rais hawezi kulipa faini ili kumnusuru ndugu yake na kifungo wala ndugu wa Rais hawezi kushtakiwa wala kutuhumiwa.

Hata kwa Dokta Mashinji aliyehamia CCM kutoka Chadema, katika nchi majirani zetu, kamwe asingeweza kuhukumiwa, kulala gerezani wala kudaiwa faini.

Mheshimiwa Rais, umetudhihirishia watanzania na Dunia kwa ujumla kwamba, Mahakama za Tanzania zipo huru, nawe unaunga mkono Uhuru wa Mahakama.

Mara zote unapoapisha mawakili na kuteua majaji, umekuwa ukihimiza haki, uwajibikaji na uzalendo kwa mhimili wa Mahakama. Ndio maana nasema.

Bravo Mheshimiwa Rais, kudhihirisha Uhuru wa Mahakama nchini, Watanzania tumuunge mkono

It is better to let people think you are stupid than to open your mouth and prove you are stupid.
 
M
mnadhani Pompeo ana akili za tope kama "team njaa kali" ya Lumumba.

uchaguzi mwaka huu ni hivi..

CCM+polisi VS upinzani+umma+beberus
Mtagaragazwa pamoja na hao mabeberu wenu, jiandaeni malalamiko fc. Uchaguzi wa Serikali za mitaa kumbe haziluwapa funzo?
 
Back
Top Bottom