BRAND NEW DELL LAPTOP FOR ONLY 450,000Tshs

DESMOND DAVID

Member
Jan 31, 2011
79
7
DELL latitude E6400,RAM 2GB,PROCESSOR DUO CORE 2.4GHZ,HDD 250GB
Kwa anayeitaji anipigie au sms 0759149202

images.jpg index.jpg
Mzigo mpya umeingia kwa punguzo la bei mpaka 430000
 
Dell Latitude mi majanga hasa screen! USICHUKUE! Bora hata Inspiron
 
Dell Latitude mi majanga hasa screen! USICHUKUE! Bora hata Inspiron

Mawazo mgando hayo!!..Latitude nimetumia toka enzi za D620/630 (roho ya paka), wewe unakuja kusema watu wasichukue E6400 tena kwa herufi kubwa?!!!...tena unasema bora inspiron? Hizi latitude anazouza ni za zamani, kama ni brand new boxed basi ni stock ya zamani, zilizopo madukani nyingi ni used na zinauzwa mpaka 300k, pamoja na hayo ni mashine nzuri sana na niimara! Acheni roho za korosho, vijana wenzenu wanajituma nyie mnawarudisha nyuma, hayo mabox ya Inspiron N series tunayonunua kwa wasomali na wahindi kariakoo hayawezi kuzifikia hizi mashine!
Take it from the dealer!
 
Mawazo mgando hayo!!..Latitude nimetumia toka enzi za D620/630 (roho ya paka), wewe unakuja kusema watu wasichukue E6400 tena kwa herufi kubwa?!!!...tena unasema bora inspiron? Hizi latitude anazouza ni za zamani, kama ni brand new boxed basi ni stock ya zamani, zilizopo madukani nyingi ni used na zinauzwa mpaka 300k, pamoja na hayo ni mashine nzuri sana na niimara! Acheni roho za korosho, vijana wenzenu wanajituma nyie mnawarudisha nyuma, hayo mabox ya Inspiron N series tunayonunua kwa wasomali na wahindi kariakoo hayawezi kuzifikia hizi mashine!
Take it from the dealer!

Wanataka zile za:
RAM 4GB
Processor i5 Kitu Quadrocore 4Ghz
HDD 1TB

Bei: Tsh. 520,000.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom