Huwezi kuamini NBC mlimani city Dar hua inatakiwa iwe imefunguliwa kuanzia saa 4 asubui,ila mpaka sasa hawajafungua.Wateja wamejaa hata ATM hazifanyi kazi.NBC imekua inafanya vibaya sana kwa wayeja wake.Hapa pembeni yake kuna CRDB inafanya vizuri sana,wamewawekea wateja hadi viti vya kukaa.NBC wao wanavuna tu hela ila kumjali mteja ni zero kabisa.Ni upuuzi sana.Kuna mteja anataka hela na anasafiri,amelalamika sana