Mpaka jana usiku Jamaa walikuwa hawajatia timu na tukaambiwa kuwa wangefika leo asubuhi. Wenye taarifa watujuze, Boyz To Men wametia timu Bongo ama wamechomoa na watu wanataka kuvuna wasipopanda???
Pesa zetu tutrudishiwa au ndi tushaliwa?????????
Kwenu waandaji!!!!
Cluods tunaomba n show zenu zisiwe kama hawa wahuni
....tetesi kwamba wamepatwa na malaria gafula!!!duh
haya yetu macho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.