HB wa kigogo
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 2,486
- 6,248
Ibaki story! Maisha yaendelee. Ipo siku utapata mtu ambaye atakuthamini na ataheshimu hisia zako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitumie picha yako PM tuyajenge. Mimi mzoefu wa migogoro design hiyoWajameni naomba mnisaidie mawazo, kunipa moyo n.k.
Mimi nimeachwa na boyfriend wangu nilikuwa nampenda kweli. Ameniacha amerudi kwa mwanamke aliyezaa naye. Hapa roho inauma nahisi inataka kutoka.
Hebu jitathimi kwanza,huko nyuma kunarindima?,usije ukawa unalaumu watu kumbe shida iko kwakoWajameni naomba mnisaidie mawazo, kunipa moyo n.k.
Mimi nimeachwa na boyfriend wangu nilikuwa nampenda kweli. Ameniacha amerudi kwa mwanamke aliyezaa naye. Hapa roho inauma nahisi inataka kutoka.
Dah mwanangu hako ndo kagari kako?Pole mpendwa! Ndio walimwengu walivo,
nb:- kaa mkao wa kupoke pm nyingi huko
Yeah! Ni yangu kamanda ya urithiDah mwanangu hako ndo kagari kako?
Pole sana, hakuwa wa kwako huyo. Ni ngumu sana but niamini utapona, utasahau na hutaumizwa tena ila usije ukalipa kisasi kamwe.Mimi nimeachwa na boyfriend wangu nilikuwa nampenda kweli. Ameniacha amerudi kwa mwanamke aliyezaa naye. Hapa roho inauma nahisi inataka kutoka.
mpaka umeweza kuongea basi nakuhakikishia haitoki tena...Wajameni naomba mnisaidie mawazo, kunipa moyo n.k.
Mimi nimeachwa na boyfriend wangu nilikuwa nampenda kweli. Ameniacha amerudi kwa mwanamke aliyezaa naye. Hapa roho inauma nahisi inataka kutoka.
Daladala hili linapita lina nafasi kama unataka kubebwa.Utapata mwingine. Hao wanaume ni kama daladala kila mda linapita jingine
Sent From Galaxy S20 Ultra
Daladala hili linapita lina nafasi kama unataka kubebwa.
Mimi npo kwa ajili walioachika tuWajameni naomba mnisaidie mawazo, kunipa moyo n.k.
Mimi nimeachwa na boyfriend wangu nilikuwa nampenda kweli. Ameniacha amerudi kwa mwanamke aliyezaa naye. Hapa roho inauma nahisi inataka kutoka.
Kuwa mpole binti..... ninacho hutaki kiogelee kwenye bwawa lako?Huna kibamia?