Mkuu ni ujinga gani huo unafanya na mwanamke?Mimi Kama sijafanya ujinga na mwamke napiga Siku 7 hadi 10.
Vuta umri kwanza ukikua utajuaMkuu ni ujinga gani huo unafanya na mwanamke?
Weka wazi sasa hivi hakuna cha umri wala nini?Tatizo umetumia neno ujinga na mimi ninavyoelewa ujinga ni ile hali ya kutofahamu jambo fulani,sasa sijui wewe una maana gani?Vuta umri kwanza ukikua utajua
Hadi hapo kama hujafahamu ujinga ninaozungumzia tayari na wewe ni MJINGAWeka wazi sasa hivi hakuna cha umri wala nini?Tatizo umetumia neno ujinga na mimi ninavyoelewa ujinga ni ile hali ya kutofahamu jambo fulani,sasa sijui wewe una maana gani?
Asante sana!!Hadi hapo kama hujafahamu ujinga ninaozungumzia tayari na wewe ni MJINGA
Acha kunivunja mbavu broMimi Kama sijafanya ujinga na mwamke napiga Siku 7 hadi 10.
Ili uvae siku moja unatakiwa uwenazo kati ya 8-10 au zaidi na uwe mtu wa usafi kitu ambacho sio kweli kwa wanaume wengi labda kwa sie tuliooaUtavaaje boxer zaidi ya mara 1? Mimi ni siku moja ama awamu 1 tu, kwa maana nikienda kuoga tu siirudii niliyovua, naifua papo hapo. Ukivaa boxer siku zaidi ya 1 je soksi siku ngapi? Soksi pia ni siku 1
Hata kama una 3 unaweza kubadilisha kila siku, kila ukioga unafua.Ili uvae siku moja unatakiwa uwenazo kati ya 8-10 au zaidi na uwe mtu wa usafi kitu ambacho sio kweli kwa wanaume wengi labda kwa sie tuliooa
Hata kama una 3 unaweza kubadilisha kila siku, kila ukioga unafua.
Mkuu Unajua maana ya UMAMA?Utavaaje boxer zaidi ya mara 1? Mimi ni siku moja ama awamu 1 tu, kwa maana nikienda kuoga tu siirudii niliyovua, naifua papo hapo. Ukivaa boxer siku zaidi ya 1 je soksi siku ngapi? Soksi pia ni siku 1