Botswana: Mahakama yahalalisha ushoga

Na hio nchi nusu ya raia wana ngoma sasa ukijumlisha na ushoga ni hatari tupu...yani ukitongoza demu huko anakuuliza vipi una ngoma? Yani ngoma ni kama mafua huko
 
Mahakama imesema kifungu cha sheria kilichokuwa kikitoa hukumu ya kifungo cha hadi miaka 7 jela kwa watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia kuwa kinakiuka katiba ya nchi hiyo

Jaji aliyekuwa akisikiliza shauri hilo amenukuliwa akisema kuwa suala la kuzuia mapenzi ya jinsia moja halina maslahi ya umma ya nchi hiyo

Akitoa hukumu hiyo, Jaji Michael Leburu amehoji iwapo kuna umuhimu wowote wa kuwepo kwa kifungu cha sheria kinachozuia matendo hayo
-
Jaji Leburu ameenda mbali zaidi na kusema kuwa Serikali haiwezi kufuatilia matendo ya vyumbani kwa Wananchi wake

=====

In a victory for queer people in Botswana, the Gaborone high court on Tuesday ruled sections of Botswana’s Penal Code which criminalises same-sex sexual conduct unconstitutional.

Certain sections of the penal code impose a maximum sentence of seven years imprisonment for consensual same-sex relations.

The court, however, ruled these provisions “discriminatory because they take away the only means of sexual expression of the applicant”.

According to Christian Science Monitor correspondent Ryan Lenora Brown, who was at the court on Tuesday, judge Michael Leburu said that it is “not in the public interest” to criminalize same sex sexual conduct.

“What compelling public interest is there necessitating such a law? There is no victim.”

The judge added: “The state cannot be sheriff in people’s bedrooms.”

A Human Rights Watch report written by Alok Gupta, titled This Alien Legacy — The Origins of “Sodomy” Laws in British Colonialism, found that Section 377 was “a model law” introduced by the British in 1861 and then exported to its other colonies.

The report argued that many of the countries that outlaw same-sex relations do so “because they once were British colonies”.

“They brought in the legislation … because they thought ‘native’ cultures did not punish ‘perverse’ sex enough. Section 377 was … a colonial attempt to set standards of behaviour, both to reform the colonised and to protect the colonisers against moral lapses. It was also the first colonial ‘sodomy law’ integrated into a penal code… Its influence stretched across Asia, the Pacific Islands and Africa — almost everywhere the British imperial flag flew.”


The list of African countries that inherited versions of this law is expansive: Botswana, Gambia, Ghana, Kenya, Lesotho, Malawi, Mauritius, Nigeria, Seychelles, Sierra Leone, Somalia, Swaziland, Sudan, Tanzania, Uganda, Zambia and Zimbabwe.

The judgement in Botswana comes on the heels of a very different judgement in Kenya, where the colonial-era laws against homosexuality were upheld. In what is being described as “a blow for human rights”, the Kenya high court found last month that laws targeting lesbian, gay, bisexual, transgender and intersex (LGBTI) people do not breach the country’s Constitution.

In delivering judgment, the court however ruled that, because “the sexual orientation of a person is their right to privacy … societal norms of heteronormativity cannot overrule the right to privacy”. It also found that LGBTI people have been shunned from accessing health services, which in turn intrudes on their dignity.

“Sexual orientation is innate to human beings and is not a fashion statement,” the court stated. “Homosexuality is not unAfrican, but it is one other way Africans identify but have been repressed for many years.”

It added that “sodomy laws deserve a place in the museum or archives and not in the world.”

In welcoming the decision Tashwill Esterhuizen, Lesbian, Gay, Bisexual and Transgender and Sex Workers Rights

TOKEA MIAKA ILEE DHEHEBU FULANI KULE UINGEREZA LILIPOIDHINISHA NA KUBARIKI USHOGA, BASI KILA SIKU TUNASIKIA KUNA NCHI NYINGINE NAYO IMEHALALISHA USHOGA!

WATATUZUNGUKAAA WEEE, HALAFU UTAANZA KUONA NA HAPA KWETU KUNA WATU WANADAI HAKI YA KURUHUSIWA WATANDIKANE.

KAMA HUAMINI WE TULIA TU. UTAKUJA KUONA TUKIWA HAI. HAPO NI SHAYTWAANI ANAABUDIWA. NA WANAUME WAKIGOMA KUOLEWA BASI MISAADA TUTANYIMWA. HAPO NDIO WATU WATAELEWA NI NANI MZUNGU?
 
Mashoga wa humu jf watakua wanafurahia huu ushetani

Hao majaji nao ni machoko mtu una familia watoto na mwenye hofu ya mungu,utamaduni,na unaweza hatma ya jamii huwezi ruhusu mambo ya kisengerema kama hayo maana mtu mwenye utimamu wa akili hawezi ruhusu
 
wote ni walewale,,
mungu iliwachoma moto sodoma na gomola,akuangalia huyu mgongwaji nimuache alafu awachome wagongwaji,
Alafu kwanini mtafnane kinyume na maumbile,
Anayewafanya wawe mashoga anafanywa nini?
 
Nashauri waBotswana wazuiwe kuingia hapa nchini wasije wakatuletea mambo yao ya ushoga hapa.
 
Huu ujinga huu wa sijui haki za binadamu huu

Sema mzungu mtu mmoja mpuuzi sana
 
Dah nimeshtushwa na majibu yako kwa hyo unataka ushoga uwepo vp siku ukikuta mwanao wa kiume anapumuliwa kisogon na njemba utafurahi mkuu
kwasababu ndio hao LGBTQI wapo hivyo kwasababu wapo hivyo, na wanavutiwa na watu wa jinsia moja, sasa hata kama maandiko na tamaduni zinawalaani hilo halifuti uwepo wao na halifuti ukweli kuwa wao wapo hivyo na haifuti ukweli kuwa nao wataendelea kuwa kwenye mahusiano hayo tu. hivyo sheria hizo za kuwafunga na kukuza chuki dhidi yao ndizo za kufutwa kwasababu ni sheria kandamizi zenye kunyannyapaa watu kwa jinsi walivyo
 
Dah nimeshtushwa na majibu yako kwa hyo unataka ushoga uwepo vp siku ukikuta mwanao wa kiume anapumuliwa kisogon na njemba utafurahi mkuu
sasa kama ni homosexual nitafanyaje na ni ndivyo alivyo. la msingi ajiheshimu tu. ila ni jambo lisilowezekanika kumbadili alivyo. tatizo litakuwepo kama atakuwa hajiheshimu
 
Back
Top Bottom