Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 9,369
- 14,065
Boti ya Sea Express inayofanya safari zake kati ya Zanzibar-Dar, Dar-Zanzibar.
Imezimika ghafla ikiwa inaelekea jijini Dar,
kwa mujibu wa rafiki yangu ambaye alikuwa ndani ya boti hiyo amesema; boti ilipofika karibu na kisiwa cha Chumbe, injini zote zilizima, umbali kutoka Bandari ya Zanzibar mpaka kisiwa cha chumbe ni kama KM 10. Lakini baada ya muda injini za boti ziliwaka na boti ikageuza kurudi bandari ya Zanzibar.
Taarifa zisizo rasmi zinasema Meli ya MV Serengeti nayo imeungua moto. Nitawajuza zaidi.
Imezimika ghafla ikiwa inaelekea jijini Dar,
kwa mujibu wa rafiki yangu ambaye alikuwa ndani ya boti hiyo amesema; boti ilipofika karibu na kisiwa cha Chumbe, injini zote zilizima, umbali kutoka Bandari ya Zanzibar mpaka kisiwa cha chumbe ni kama KM 10. Lakini baada ya muda injini za boti ziliwaka na boti ikageuza kurudi bandari ya Zanzibar.
Taarifa zisizo rasmi zinasema Meli ya MV Serengeti nayo imeungua moto. Nitawajuza zaidi.