Boti ya Bakhresa inazama muda huu bandarini Dar es Salaam

Bora useme wewe mkuu, hadi jana bado upande mmoja ulikua uko majini. Naona hata wao ni kama wameikatia tamaa kutokana na uchakavu. Imekua na hitilafu za mara kwa mara kutokana na ukongwe.

Nje ya mada.
Jamaa yako yule Chief Engineer amerudi kazini baada ya kupona ile ajali lakini anasema pikipiki ndio kwaheri.

Kuna siku ulianika madini kuhusu fursa za biashara baharini nisikudanganye tokea siku hiyo ID yako siiangalii mara moja.
Mkuu huyo Chief engineer ni hazina kubwa kwa Azam Marine, ukitaka kumtoa hapo mzee Bakhresa lazima aingilie kati.
 
Mkuu huyo Chief engineer ni hazina kubwa kwa Azam Marine, ukitaka kumtoa hapo mzee Bakhresa lazima aingilie kati.

Yuko vizuri. Nilikua nae tukiwa kwenye Seven ZnZ-Dar last week, akaendelea kunipa madini yuko safi kiufupi, very smart.

Alieleza jinsi unene wa vile vyuma unavyoathiri uzito ma boat, akisisitiza ulingano wa mwendo na utulivu. Akanirejesha kwenye Super Sea Bus III kwamba ilikua na mwendo lakini nyepesi kwenye wimbi kali/ dhoruba ilikua inapata wakati mgumu.

RDM wakaboresha wamekua wakizingatia hilo kwenye Kilimanjaro.
 
Bora useme wewe mkuu, hadi jana bado upande mmoja ulikua uko majini. Naona hata wao ni kama wameikatia tamaa kutokana na uchakavu. Imekua na hitilafu za mara kwa mara kutokana na ukongwe.

Nje ya mada.
Jamaa yako yule Chief Engineer amerudi kazini baada ya kupona ile ajali lakini anasema pikipiki ndio kwaheri.

Kuna siku ulianika madini kuhusu fursa za biashara baharini nisikudanganye tokea siku hiyo ID yako siiangalii mara moja.
TOA LINK ILI TULIOPITWA TUTOE TONGO TONGO KIDOGO
 
Back
Top Bottom