Halisi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2007
- 2,802
- 613
Hapo wote ni WAOVU. Kwa upende mmoja kuna WEZI/MAFISADI na upande mwingine kuna WAZEMBE. Huyu mama yupo kwenye kundi la WAZEMBE
ok nimekuelewa..... tupambane kwa nguvu zote na "Wazembe" kama vile kuhakikisha polisi wazembe wote wanafungwa na kuchapwa viboko na ndio baadaye sasa tuangalie idadi ya polisi wetu watakaokwenda kukamata majambazi. Wote ni wakosaji cha muhimu ni nani wa kuanza kushughulikiwa, majambazi ama polisi? Kazi kwelikweli!!! Kama mtu ana lake kichwani haelewi kitu