na sasa Balali....the list is endless.
Wandugu mimi nina wazo. Hivi hatuwezi kufikisha hii issue kwenye media za kimataifa kama BBC, CNN, FOX, SKY ili waweze kufuatilia hiki kilio cha watanzania??? Hawa jamaa wanaweza kumtrace alipo na kufanya mahojiano naye huyu dalali!! Tumechoka sasa, kila siku tunapiga kelele tu hapa, kila mtu na lake. Tunataka tusikie haya majambo kupitia media za kimataifa. Mwenye uwezo wa ku-influence hili atusaidie. Tutaendelea kubaki gizani mpaka lini???
Mtaalam,
They know where he is. Hata alipokuwa Marekani rais alimpigia former gavana simu. Lakini wameamua kumfanya "sacrificial lamb." Nasikia kuna ripoti zitatoka kesho kutoka waziri wa fedha zikimshutumu gavana kwa kutomwambia ukweli. I wish I had been there to ask a few questions. Lakini waswahili wana usemi kuwa Mungu si Asumani. Ngoja Balali apate nafuu, aweze kuzungumza vizuri tu na mtasikia mavituz.
Kesho nitawawekea barua zote mbili hapa, kama magazeti yatakua hayajaweka