Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeeleza kuwa bajeti ya Tanzania katika mwaka wa fedha uliopita 2018/2019 ilitekelezwa kwa 68.56% (TZS 22.265 trilioni), kati ya makadirio ya TZS 32.5 trilioni yaliyopitishwa na Bunge.
Kati ya fedha hizo, TZS 8.45 trilioni zilitumika kwenye miradi ya maendeleo na TZS 13.8 trilioni zilitumika kwenye matumizi ya kawaida.
Kati ya fedha hizo, TZS 8.45 trilioni zilitumika kwenye miradi ya maendeleo na TZS 13.8 trilioni zilitumika kwenye matumizi ya kawaida.