BoT na CMSA wautahadharisha umma kuhusu Taasisi ya Upatu ya D9 Club

Hili angalizo limechelewa sana mpaka nchi ndogo zinapinga ndio na sisi tunaamka shame on us
 
Hii kitu ina miaka na miaka na sijawahi kusikia kwamba mtu analalamika ameibiwa. Kwa hyo ni vema wange eleza ni watu gani waliowekeza huko walio lalamika kuibiwa . vinginevyo ni chuki tu za kutaka wachache ndio watajirike and the rest wabaki . Uzuri wake hii kitu inachezwa mtandaoni sijui kama wataweza. Miezi mitatu ela yako imerudi sasa hapo mtu anatapeliwaje. Mfano mm mwenyewe huu mwezi wa sita , nimerudisha ela yangu miezi mitatu ya mwanzo na sasa nimeshakula faida ya 2m miezi miwili na bado saba. Hapo wakisitisha huduma zao utasrmaje nimeibiwa
Kwenye Red, Wewe ni Muongo , haina hiyo unayoiita miaka na miaka, imeingia Bongo mwaka jana tu tuseme haijafikisha hata mwaka mmoja,
Kwenye Blue Wewe umeweka miezi sita ndio maana unaona hutotapeliwa sababu usharudisha $2,000 yako, je walioanza hivi karibuni ambao hawajatimiza miezi mitatu ya kurudisha mtaji je??
 
Mimi huwa sifanyi biashara za Mitandaoni! kwa sababu mara nyingi ni vigumu kufahamu mumiliki halali ni nani, anapatikana wapi na pia kuna kiwango kidogo cha usalama!
 
asanteni kwanza kuliona hili. mara nyingine muwahi kutoa angalizo mara Mmoja mara tu mambo haya yajitokezapo.
 
Bongo Kuna matapeli wa aina nyingi. Hawa DSE na CMSA hawataki kutoa taarifa za TCCIA na Vodacom share kuwa listed.

Ni jambo rahisi tu toa maelezo kwanini TCCIA na Vodacom ambazo tarehe zilizoainishwa kua zinakua listed hazijawa listed hadi sasa.


DSE na CMSA walitakiwa kuwa na Uzi humu special thread ila ni wavivu sana na kila ck zitaendelea kuporomoka kwa uchumi huu.


Same to BOT ni wavivu sana
 
Nmefurahi sana maana nlidhan mmetusahau watanzania maana weng wanaibiwa kuna dada kashatoa million 4.kambiwa kila week ataingiziwa laki 4 lakin zitakatwa riba ila mpaka sasa hakaingiziwa hata sh. 500 ya silver hii ni hatari.....

Pia BOT muwe mnawah kutoa taarifa coz D9 ipo muda kdg toka ianze kutangazwa so n vyema mnapoona mambo haya haraka sana mnataarifu wananchi maana weng wanataamaaa na pesa za haraka haraka na hawajui hzo pesa znazalishwa vp had mtu akupe ww milllion 16 kwa kuwa umetoa million 4??? Okay jamn sambazan hiyo barua nanyi tuwaokoe ndugu zetu wanaoliwa
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom