kingxvi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 879
- 150
toka hela mpya zimeingia kwenye mzunguko ni mwezi wa 4 sasa tunaenda wa 5 lakini cha kushangaza hela za zamani bado nyingi kwenye mzunguko kushinda mpya.nchi inakuwa na hela aina mbili? Hii ni hatari sana kwa nchi Mbona mwaka 2003 zilipoingia hela mpya kwenye mzunguko hazikukaa sana kama hizi? Tuambie lini zitaisha kwenye mzunguko hizi hela?