Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,985
- 20,263
Kama siamini ninachokiona kwa macho yangu dk hii,yani kuna mnada kama ile ya majembe aksheni mati inayofanyikaga maeneo ya stende au sehemu za wazi, laki leo huu unafanyika ndani ya bot kwenye maegesho ya magari juu ya gorofa ya nne!
Kinacho nadiwa hapa kuanzia magari mpaka kijiko cha chai!
Najaribu kufuatilia uhusiano wa BOT na bidhaa hizi!
UPDATES:
Nichogundua kuna dizaini mpya ya ufisadi unaofanyika ktk wizara zetu! Hawa wanaoendesha mnada wameniambia kuwa wao wamekodi ukumbi lakini wamegoma kujitaja kuwa ni kampuni gani ya udalali na nani amewapangisha!
Nimejaribu kuwasiliana na mmoja wa maafisa anaehusika na uratibu wa maegesho hayo anasema yeye hupo likizo na hajui nini kinaendelea na hawana utaratibu wa kukodisha kwa shughuli yoyote ile!
Updates:
Nilichobaini baada ya mchakato wa masaa mawili wa kujua uhusiano wa mali zinazo nadiwa na bot nimegundua kuwa ni mali za serikali nyingi zimeandikwa namba za vitengo vya wizara!
Nimebahatika kuongea na watu wawili ambao ni wafanyakazi wa bot na wizara ya fedha wamenithibitishia kuwa ni mali za wizara zilizotumika, nikawauliza kuwa je huo ndio utaratibu wa wizara kuuzia kwenye kwenye paking wakasema wao si wasemaji ila wapo kwa uangalizi tu!
Chaajabu baadhi ya namba za kwenye bidhaa hizo zimefutwa na magari yana no za kiraia!
Hata aina ya uuzaji ni kama kugawana maana watu si wengi na wanatoa taarifa za uongo ukijaribu kuzungumza nao!
Kinacho nadiwa hapa kuanzia magari mpaka kijiko cha chai!
Najaribu kufuatilia uhusiano wa BOT na bidhaa hizi!
UPDATES:
Nichogundua kuna dizaini mpya ya ufisadi unaofanyika ktk wizara zetu! Hawa wanaoendesha mnada wameniambia kuwa wao wamekodi ukumbi lakini wamegoma kujitaja kuwa ni kampuni gani ya udalali na nani amewapangisha!
Nimejaribu kuwasiliana na mmoja wa maafisa anaehusika na uratibu wa maegesho hayo anasema yeye hupo likizo na hajui nini kinaendelea na hawana utaratibu wa kukodisha kwa shughuli yoyote ile!
Updates:
Nilichobaini baada ya mchakato wa masaa mawili wa kujua uhusiano wa mali zinazo nadiwa na bot nimegundua kuwa ni mali za serikali nyingi zimeandikwa namba za vitengo vya wizara!
Nimebahatika kuongea na watu wawili ambao ni wafanyakazi wa bot na wizara ya fedha wamenithibitishia kuwa ni mali za wizara zilizotumika, nikawauliza kuwa je huo ndio utaratibu wa wizara kuuzia kwenye kwenye paking wakasema wao si wasemaji ila wapo kwa uangalizi tu!
Chaajabu baadhi ya namba za kwenye bidhaa hizo zimefutwa na magari yana no za kiraia!
Hata aina ya uuzaji ni kama kugawana maana watu si wengi na wanatoa taarifa za uongo ukijaribu kuzungumza nao!