BOT INA WAFANYAKAZI 1325 huo sio utumiaji wa hovyo wa kodi zetu?

BONGOLALA

JF-Expert Member
Sep 14, 2009
16,507
11,883
nimesikia clip ya prof ndulu gavana bot eti watoto wa vigogo ni wachache sana ukilinganisha na wafanyakazi waliopo 1325.Jee kampuni ya airtel au vodacom yenye minara kila kilometa 5 na ofisi kila mkoa inawafanyakazi wengi hivyo?huu ni utumiaji wa rasilimali zetu hovyo hovyo kwani bot ina ofisi ktk kanda tuu arusha,mwanza,mbeya,zanzibar na dar.Anasema uchumi unakua lakini si hali ya maisha.naombeni wana jf mnipe tofauti ya uchumi na hali ya maisha
 
nimesikia clip ya prof ndulu gavana bot eti watoto wa vigogo ni wachache sana ukilinganisha na wafanyakazi waliopo 1325.Jee kampuni ya airtel au vodacom yenye minara kila kilometa 5 na ofisi kila mkoa inawafanyakazi wengi hivyo?huu ni utumiaji wa rasilimali zetu hovyo hovyo kwani bot ina ofisi ktk kanda tuu arusha,mwanza,mbeya,zanzibar na dar.Anasema uchumi unakua lakini si hali ya maisha.naombeni wana jf mnipe tofauti ya uchumi na hali ya maisha

Mhh!!
Mzee hii ni kweli?? Hebu confirm pls, nataka kutapika!! mbona kama wengi sana (Elfu moja mia tatu ishirini na tano?)?
 
nimesikia clip ya prof ndulu gavana bot eti watoto wa vigogo ni wachache sana ukilinganisha na wafanyakazi waliopo 1325.Jee kampuni ya airtel au vodacom yenye minara kila kilometa 5 na ofisi kila mkoa inawafanyakazi wengi hivyo?huu ni utumiaji wa rasilimali zetu hovyo hovyo kwani bot ina ofisi ktk kanda tuu arusha,mwanza,mbeya,zanzibar na dar.Anasema uchumi unakua lakini si hali ya maisha.naombeni wana jf mnipe tofauti ya uchumi na hali ya maisha
Kujuwa kama hao ni wengi au wachache hebu tujaribu kutafuta nini BoT wanatakiwa wafanye. Kumbuka hao wafanyakazi wa Airtel au VODA wana wakandarasi wengi wanaowafanyia shughuri zao kwa malipo.
 
Kujuwa kama hao ni wengi au wachache hebu tujaribu kutafuta nini BoT wanatakiwa wafanye. Kumbuka hao wafanyakazi wa Airtel au VODA wana wakandarasi wengi wanaowafanyia shughuri zao kwa malipo.
ndugu tafuta bajeti ya bot au wakitangaza tender zao utaona wanawakandarasi wengi tena wa bei za juu kuliko vodacom na airtel.hembu nenda ofisi za airtel dar pia tanroads wamepanga pale magari ya thamani na mengi ya tanroads utaijua serikali yetu kipaumbele chake ni kipi
 
Inawezekana BOT ina over employment kwa sababu wanafanya na majukumu ya commercial banks. Nadhani optimal number ya central bank haipaswi kuzidi 500
 
Back
Top Bottom