BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,507
- 11,883
nimesikia clip ya prof ndulu gavana bot eti watoto wa vigogo ni wachache sana ukilinganisha na wafanyakazi waliopo 1325.Jee kampuni ya airtel au vodacom yenye minara kila kilometa 5 na ofisi kila mkoa inawafanyakazi wengi hivyo?huu ni utumiaji wa rasilimali zetu hovyo hovyo kwani bot ina ofisi ktk kanda tuu arusha,mwanza,mbeya,zanzibar na dar.Anasema uchumi unakua lakini si hali ya maisha.naombeni wana jf mnipe tofauti ya uchumi na hali ya maisha