Ni nzuri na pesa itatolewa ila sasa utekelezaji wa kupunguza riba kwa benki zetu chini ni ngumu sana.
Wewe una wasi wasi gan?lazima watekeleze tu watake wasitake safi sana Mh Raisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni nzuri na pesa itatolewa ila sasa utekelezaji wa kupunguza riba kwa benki zetu chini ni ngumu sana.
Mkuu hali ya soko itasukuma mabenki kushusha riba. Watu siku hizi hawaangalii jina la benki unakoweka pesa zako, wanachofuata ni huduma wanayotaka kama inapatikana.
Leo hii benki yeyote ikishusha riba, watu wataambizana tu kwamba kuna benki wana riba ndogo za mikopo, watu watakimbilia huko, hiyo italazimisha benki zingine zishushe kunusuru kukimbiwa na wateja.
Ikiwa mtu hana ulazima wa kukopa sasa hivi bora akasubiria kidogo hadi mwakani hizi sheria na taratibu zikianza kutumika, unaweza kukopa sasa hivi ukapigwa riba ya sasa baadae wakija kubadili unaendelea kulipa mkopo kwa ile ile riba ya zamani.
Ilinikuta hii nilikua nalipa 22.5% wakati benki walishusha hadi 16%. Na walikua wananibembeleza nichukue tena nikawaambia nikitaka ntaenda tena. Kwa hii habari, tutaonana mwakani tena ikishakua 10%.
Tusubiri labda sio hii Tanzania ninayoijua Mimi toka kichwani Hadi miguuniWewe una wasi wasi gan?lazima watekeleze tu watake wasitake safi sana Mh Raisi
Bank kuu ndio regulator wa viwango vya riba ktk nchi husika ili kucontrol hali ya uchumi kwa wakati huo. Ukiona bank za biashara zinatoza riba kubwa chanzo hua ni bank kuu kuwatoza riba kubwa bank za biashara pamoja kuweka kiwango kikubwa cha reserve requirement. Sasa ili bank za biashara zipunguze riba basi bank kuu hufanya uamuzi wa kupunguza riba ktk mikopo inayowapa bank za biashara pamoja na kushusha kiwango cha reserve requirement lengo kuu ikiwa ni kushusha riba kwa mikopo inayotolewa na banks za biashara kwa wafanyabiashara. Na sio hiyari kwa commercial banks kufanya hvo bali utaratibu wao. Watatofautiana tu rate za kushusha ila ni lazima washusheIsiwe tamko tu, twataka VITENDO..
Kumbuka hii sera imeanza kutumika 27/7/2021 maana yake kila kitu kimeishasetiwa hakuna cha kusubiri mpaka mwakani
Salary slip mzee, sorry mkuu!Mkuu unauliza salary au salary slip?
Salary slip mzee, sorry mkuu!Mkuu unauliza salary au salary slip?
Twarudia kusema, isiwe maneno kama Hadithi, twataka vitendo...Bank kuu ndio regulator wa viwango vya riba ktk nchi husika ili kucontrol hali ya uchumi kwa wakati huo. Ukiona bank za biashara zinatoza riba kubwa chanzo hua ni bank kuu kuwatoza riba kubwa bank za biashara pamoja kuweka kiwango kikubwa cha reserve requirement. Sasa ili bank za biashara zipunguze riba basi bank kuu hufanya uamuzi wa kupunguza riba ktk mikopo inayowapa bank za biashara pamoja na kushusha kiwango cha reserve requirement lengo kuu ikiwa ni kushusha riba kwa mikopo inayotolewa na banks za biashara kwa wafanyabiashara. Na sio hiyari kwa commercial banks kufanya hvo bali utaratibu wao. Watatofautiana tu rate za kushusha ila ni lazima washushe
Hapo hakuna hadithi mkuu. Kitendo cha hyo stement of monetary policy kua released mchezo umeisha.Twarudia kusema, isiwe maneno kama Hadithi, twataka vitendo...
Wanashusha lini?
Habari njema sana hiyoNasikia tayar nmb wamekwisha shusha
Imefika ngapi mkuu?Equit wameshashisha. Watu wakachue pesa equit. Waache hao wengine waendelele kulinga.
14Imefika ngapi mkuu?
At least kuna movement-Ingawa naona bado hakuna aliyefika kwenye 10%
Ngoja tusubiri tuone crdbAt least kuna movement-Ingawa naona bado hakuna aliyefika kwenye 10%