The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,319
Benki kuu ya Tanzania imetoa muongozo wa benki za biashara kupunguza riba kwa sekta binafsi.
Benki kuu imetenga fungu la Trilioni moja ambayo itatumika kuzikopesha benki na taasisi za fedha kwa riba ya 3% na kutaka benki zitoe mikopo kwa riba isiyozidi 10%.
Binafsi napongeza hizi hatua za serikali katika kuongeza ukwasi na mzunguko wa pesa mitaani. Riba kwenye mabenki ya biashara iko juu sana.
Benki kuu imetenga fungu la Trilioni moja ambayo itatumika kuzikopesha benki na taasisi za fedha kwa riba ya 3% na kutaka benki zitoe mikopo kwa riba isiyozidi 10%.
Binafsi napongeza hizi hatua za serikali katika kuongeza ukwasi na mzunguko wa pesa mitaani. Riba kwenye mabenki ya biashara iko juu sana.