BOT: Deni la taifa toka Dec 2018 Hadi Sasa limekula fedha za kigeni Dola Mil 439. Reserve ya taifa imeshuka mauzo nje yashuka

Ikiwa mali za hazina hazitopanda na kushuka basi hizo zitakuwa mali mfu.

Na ikiwa hatu "service" mikopo hatutaweza kulipa tena wala ku "negotiate" punguzo au kufutwa madeni yetu.

Sioni tatizo hapo bali naona maendeleo kwani ikiwa una hazina kubwa benki na imekaa tu hayo maendeleo utayaleta na nini? Ni lazima mali izunguke ili kuongezeka.

Ni principle pekee ya kuukuza uchumi unaotegemea mzunguko wa fedha unless uwe tayari unaingiza pesa nyingi kuliko matumizi, ambako bado hatujafikia.
Limbwata mlilolishwa na zee la vi-wonder ni original kabisa.

Linafanya kazi hasaaa, mtukufu Jiwe hajawahi kukosea kabisa.
 
B.O.T ya ufipa hii.uchumi umekuwa.fedha ya akiba ipo ya kutosha na deni la taifa bado halijaongezeka tangu january 2019

rejea hotuba ya kasimu majaliwa last week akiaahirisha kikao cha bunge
Uchumi haufichiki ni kama mimba time will tell
 
Back
Top Bottom