BOT: Deni la taifa toka Dec 2018 Hadi Sasa limekula fedha za kigeni Dola Mil 439. Reserve ya taifa imeshuka mauzo nje yashuka

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868
IMG-20190212-WA0008.jpg
 
B.O.T ya ufipa hii.uchumi umekuwa.fedha ya akiba ipo ya kutosha na deni la taifa bado halijaongezeka tangu january 2019

rejea hotuba ya kasimu majaliwa last week akiaahirisha kikao cha bunge
Mwenendo wa uchumi wa nchi na akiba ya fedha za vinaratibiwa na Bot na si majaliwa! Kila anayewaambia ukweli mnamchukia! Twaweza wabaya,Cag mbaya,sasa Bot nao wamekuwa wabaya!!
 
Nadhani mwenzetu
B.O.T ya ufipa hii.uchumi umekuwa.fedha ya akiba ipo ya kutosha na deni la taifa bado halijaongezeka tangu january 2019

rejea hotuba ya kasimu majaliwa last week akiaahirisha kikao cha bunge
Nadhani mwenzetu unaishi mbinguni,2015 uchumi ulikuwa 7.plus sasa ni 6.point tumekuwa au tumerudi thamani ya soko la hisa 2018 ilishuka kwa 50% export imeshuka haina mfano,shilingi imeporomoka sasa huo uchumi unaokuwa uko wapi
 
endelea kuangalia makovu ya mgongoni mwa lisu ndio size yako.uchumi na kilaza wapi na wapi
Ni kweli mimi sio mchumi, lakini huwezi kunidanganya kizembe hivyo.

Endeleeni kusema kwa maneno ya mdomoni huku mkiendelea kuficha ukweli wake
 
Naona huyu ashaungana na zzk na Tl.
Wanatumiwa na mabeberu hawa
 
Ikiwa mali za hazina hazitopanda na kushuka basi hizo zitakuwa mali mfu.

Na ikiwa hatu "service" mikopo hatutaweza kulipa tena wala ku "negotiate" punguzo au kufutwa madeni yetu.

Sioni tatizo hapo bali naona maendeleo kwani ikiwa una hazina kubwa benki na imekaa tu hayo maendeleo utayaleta na nini? Ni lazima mali izunguke ili kuongezeka.

Ni principle pekee ya kuukuza uchumi unaotegemea mzunguko wa fedha unless uwe tayari unaingiza pesa nyingi kuliko matumizi, ambako bado hatujafikia.
 
Ungeleta statistics zako hapa tujue unachosema ni kweli. Otherwise utakuwa umejib kishabiki.
Mambo kama haya ya uchum hakikisha uko na live fact sio ushabiki
B.O.T ya ufipa hii.uchumi umekuwa.fedha ya akiba ipo ya kutosha na deni la taifa bado halijaongezeka tangu january 2019

rejea hotuba ya kasimu majaliwa last week akiaahirisha kikao cha bunge

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekusoma uzuri dada faiza. Unajua bwana kuna watu humu ndani maswala ya uchumi wanayajib kishabiki na kuingiza siasa ambazo kimsing hazisaidii uchumi kwa njia yoyote ile. Hii tabia inakera sana
Ikiwa mali za hazina hazitopanda na kushuka basi hizo zitakuwa mali mfu.

Na ikiwa hatu "service" mikopo hatutaweza kulipa tena wala ku "negotiate" punguzo au kufutwa madeni yetu.

Sioni tatizo hapo bali naona maendeleo kwani ikiwa una hazina kubwa benki na imekaa tu hayo maendeleo utayaleta na nini? Ni lazima mali izunguke ili kuongezeka.

Ni principle pekee ya kuukuza uchumi unaotegemea mzunguko wa fedha unless uwe tayari unaingiza pesa nyingi kuliko matumizi, ambako bado hatujafikia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
B.O.T ya ufipa hii.uchumi umekuwa.fedha ya akiba ipo ya kutosha na deni la taifa bado halijaongezeka tangu january 2019

rejea hotuba ya kasimu majaliwa last week akiaahirisha kikao cha bunge
Hahahahaaaaaaa,mtachanganyikiwa bure!
 
Ikiwa mali za hazina hazitopanda na kushuka basi hizo zitakuwa mali mfu.

Na ikiwa hatu "service" mikopo hatutaweza kulipa tena wala ku "negotiate" punguzo au kufutwa madeni yetu.

Sioni tatizo hapo bali naona maendeleo kwani ikiwa una hazina kubwa benki na imekaa tu hayo maendeleo utayaleta na nini? Ni lazima mali izunguke ili kuongezeka.

Ni principle pekee ya kuukuza uchumi unaotegemea mzunguko wa fedha unless uwe tayari unaingiza pesa nyingi kuliko matumizi, ambako bado hatujafikia.
Ndio maana watu tulimshangaa JPM kwa uamuzi wake wa kuzizuia taasisi ambazo miradi yake bado iko kwenye hatua za awali kuweka fedha kwenye fixed accounts bank binafsi!Badala yake akazilazimisha taasisi hizo kuweka fedha BOT ambako hata zinakaa tu kama viazi vilivyovundikwa,hata kuzaa havizai!
 
Back
Top Bottom