BoT acheni Usumbufu juu ya pesa za watu

Bibie sasa anazuia na kufuatilia dollars viji5000 kuingia wakati Trillion 10 zimeyeyuka kwenye mazingira ya kutatanisha hadi CAG kutishiwa. Si aache tu hela ziingie. Ni mchoyo tu mbinafsi na roho mbaya
Hizo ni taratibu za kimataifa ambazo kila nchi inatakiwa ku comply. Na ukiona nchi inaweza kutumiwa pesa iliridhia hayo makubaliano. Kuna nchi ambazo huwezi tuma pesa kabisaaa
 
Yani Jiwe hovyo sana. Halafu hatosheki hana kiasi. Yeye kuiba tu toka 1995
Mtukufu magufuli sasa ndiyo Rais tajiri kuliko wote barani Afrika, mikataba mipya ya madini ni siri yake madini na pesa cash zote zinazozuiliwa BOT na kukamatwa airport Bandarini mipakani vyote anachukuchia binafsi, changanya trilion 1.5 kisha wakamtoa CAG kafara, 10% ununuzi wa Ndege kwa cash, ujenzi wa Airport mpya, bwawa la umeme flyover na miradi yote mikubwa, wenzake mkapa na kikwete walipiga pesa miaka yao ya mwisho mwisho, lakini yeye kapiga pesa miaka yake ya kwanza kisha kupiga marufuku mikutano ya siasa ili kuficha maovu yake yasisike kwa watanzania.
 
  • Thanks
Reactions: Auz
Hizo ni taratibu za kimataifa ambazo kila nchi inatakiwa ku comply. Na ukiona nchi inaweza kutumiwa pesa iliridhia hayo makubaliano. Kuna nchi ambazo huwezi tuma pesa kabisaaa
Kenya Uganda Zambia na Nchi zingine jirani hawana usumbufu kama BOT ndiyo maana wafanyabiashara wa Tanzania wamehamishia A/C zao huko na wanasaidia mzunguko na kuimarisha uchumi wa huko badala ya Tanzania , kubali ukatae BOT wana matatizo makubwa inahitajika pasafishwe kwa fagio kali na kwa kasi ya 5G
 
Kenya Uganda Zambia na Nchi zingine jirani hawana usumbufu kama BOT ndiyo maana wafanyabiashara wa Tanzania wamehamishia A/C zao huko na wanasaidia mzunguko na kuimarisha uchumi wa huko badala ya Tanzania , kubali ukatae BOT wana matatizo makubwa inahitajika pasafishwe kwa fagio kali na kwa kasi ya 5G
Huko Kenya, Uganda na Zambia wanakupa tuu pesa bila kufata taratibu wazinakokwenda kwa mtu zilikotoka na zinakokwenda?

Na je, kama Uganda, Kenya na Zambia hawafuati taratibu unataka na Tanzania isifuate?


Hakuna kitu kizuri kama kufuata utaratibu. Mfumo unaweza kuja kuchunguzwa hata baada ya miaka4,7,10 na bank kuu kama regulator ikaingia hatiani
 
Wewe siku yakikukuta ndipo utaamini, kawaulize wafanyabiashara wakubwa na wadogo watakupa kero zote za BOT nina Iman hata wewe utaanza kuwachukia kwa baadhi yao huwatishia kesi za utakatishaji fedha ili wapewe Rushwa, Tanzania ya mtukufu magufuli ni mwiba mchungu kwa wafanyabiashara
Acha kabisa, nchi imekua ngumu sana kufanya biashara kwa sasa. Kila transaction maelezo, biashara zinakwama sana.
 
Huko Kenya, Uganda na Zambia wanakupa tuu pesa bila kufata taratibu wazinakokwenda kwa mtu zilikotoka na zinakokwenda?

Na je, kama Uganda, Kenya na Zambia hawafuati taratibu unataka na Tanzania isifuate?


Hakuna kitu kizuri kama kufuata utaratibu. Mfumo unaweza kuja kuchunguzwa hata baada ya miaka4,7,10 na bank kuu kama regulator ikaingia hatiani
Unaandika kama mpumbavu, Unafikiri watu hawajui taratibu unajua wewe tu.

Transactions zimekua ngumu sana kwa sasa, wiki 2 unafuatilia muhamala wako.Ujinga mtupu.
 
Sio Benki kuu tuu benki zote.
Ukiingiziwa mzigo lazma huutolee maelezo.pesa zako bado zinakutesa.
Enzi ya kikwete unaweza ukaingia benk na furushi la hela hakuna anayekuuliza

Enzi ya Mkwere wauza NGADA mlifaidi sana; mlikuwa mnajitanua hata mkiingia bar mlikuwa mnatangaza ufalme!!! Kwa kuwapiga spana nyie wauza UNGA nampa kumi Jiwe!!!
 
Acha kabisa, nchi imekua ngumu sana kufanya biashara kwa sasa. Kila transaction maelezo, biashara zinakwama sana.
Watu wamekimbia usumbufu shida za BOT na kwenda kufungua A/C Uganda Zambia kenya ambapo Benk kuu za huko hawana usumbufu na pesa za mtu, ukitumiwa pesa zako tokea nje unachukua pesa zako bila usumbufu wala maswali ya hovyo kama BOT
 
Enzi ya Mkwere wauza NGADA mlifaidi sana; mlikuwa mnajitanua hata mkiingia bar mlikuwa mnatangaza ufalme!!! Kwa kuwapiga spana nyie wauza UNGA nampa kumi Jiwe!!!
Wauza unga Duniani kote hawaweki pesa Benk hununua bidhaa na kuuza cash kisha kwenda na cash kununua mizigo yao, wafanyabiashara wakubwa waliporwa pesa zao na BOT siyo wauza unga
 
Unaandika kama mpumbavu, Unafikiri watu hawajui taratibu unajua wewe tu.

Transactions zimekua ngumu sana kwa sasa, wiki 2 unafuatilia muhamala wako.Ujinga mtupu.
Kuna baadhi ya maofisa wa BOT hufanya blackmail kuwakomoa watu na wengine hutengeneza mazingira magumu ili wapate Rushwa kwa kifupi wametumia fursa hii ya udikiteta wa mtukufu magufuli kujinufaisha huku wafanyabiashara wakizidi kumchukia magufuli mtukufu
 
Huko Kenya, Uganda na Zambia wanakupa tuu pesa bila kufata taratibu wazinakokwenda kwa mtu zilikotoka na zinakokwenda?

Na je, kama Uganda, Kenya na Zambia hawafuati taratibu unataka na Tanzania isifuate?


Hakuna kitu kizuri kama kufuata utaratibu. Mfumo unaweza kuja kuchunguzwa hata baada ya miaka4,7,10 na bank kuu kama regulator ikaingia hatiani
Zambia kenya Uganda wanafuata utaratibu fair usio na usumbufu kama BOT na hawana Tabia mbovu za kuchelewesha pesa za watu wala kuwadhulumu kama BOT ndiyo maana wafanyabiashara wa Tanzania wamekimbilia huko.
 
Mtukufu magufuli kaburu Mkoloni mweusi huenda ndiyo Rais anayechukiwa na wafanyabiashara na watumishi wa umma waliokosa nyongeza za mishahara kwa miaka mitano kuliko Rais yeyote Duniani, wafanyabiashara wakimchukia mtu ujue na wafanyakazi wao waliothirika kiuchumi humchukia aliyesababisha tajiri yao kuyumba kiuchumi
 
Wauza unga Duniani kote hawaweki pesa Benk hununua bidhaa na kuuza cash kisha kwenda na cash kununua mizigo yao, wafanyabiashara wakubwa waliporwa pesa zao na BOT siyo wauza unga

Wengi walikuwa wanatakatisha fedha zao kwa kutumia BUREAU DE CHANGE ambako ndiko BOT walikamata fedha nyingi!!
 
Wengi walikuwa wanatakatisha fedha zao kwa kutumia BUREAU DE CHANGE ambako ndiko BOT walikamata fedha nyingi!!
BOT walitengeneza kisingizio hicho kuharalisha dhuluma kwa wafanyabiashara hakuna ushahidi wowote walipata zaidi ya kuwadhulumu pesa zao tu, hiyo ni mojawapo ya kero kubwa tokea BOT kwa wafanyabiashara wakubwa
 
Kisheria Ela yoyote kuanzia million 10 utoka nje ya nchi au inayoingua kwenye account yako lazima uitolee maelezo..hiyo Ni sheria dunia nzima
Milioni 10 za Tz? Ninachoelewa ni dollar za Marekani elfu 10.
 
Back
Top Bottom