Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
Mataga mmebaki macho yanawatoka utasema ndiyo mmesika msiba wa meko 🤣 🤣 🤣Mbona mlikuwa mnamdemkia?
Kigogo kwa chadema ni zaidi ya kamati kuu ya chama
Chadema ni taasisi.
Mataga mmebaki macho yanawatoka utasema ndiyo mmesika msiba wa meko 🤣 🤣 🤣Mbona mlikuwa mnamdemkia?
Kigogo kwa chadema ni zaidi ya kamati kuu ya chama
Ni kweli . Mpaka tarehe 15 maghufuli alikuwa mzima. Infact mtoto wake alienda kumjulia Hali MzenaWewe umesahau yule kiongozi wao alivyokuwa "Mzena" walivyokuwa wanatapatapa, mara nimeongea nae asubuhi anawasalimia.
Anyways, ni kawaida; mkubwa akiondolewa kwenye field; foot soldiers lazima wafanye re-grouping. Sio process rahisi
Acha uzushi. Hakuna aliyewagombanisha Kigogo na Lissu. Chuki zako binafsi zimekutuma umtupie lawama "aliyekimbia taasisi nyetiKuna Watu Wawili ambao nilikuwa nikiwaheshimu na kudhani kuwa wapo 'very smart' na kwamba hawataingia katika 'Mtego' wa Kufarakanishwa (Kugombanishwa) lakini bahati wameuongia huo 'Mtego' tena vizuri sana tu.
Leo hii GENTAMYCINE nasikitika kuona kuwa Mtu ambaye kwa Miaka takribani Miwili Mitatu alikuwa akimtetea, akimpigania na hata Kutuhamasisha Watanzania tumpe nchi kutokea Upinzani 'Kamgeuka' huyo Mtu mpaka anaadha 'Kumdhalilisha' na kaahidi 'Kumdhalilisha' zaidi kwa kutoa 'Siri' zake
Mzima wa Afya tar 15.... halafu tar 17 anakata moto, tupe hadithi nyingine.Ni kweli . Mpaka tarehe 15 maghufuli alikuwa mzima. Infact mtoto wake akienda kumjulia Hali mzena
Mkuu alietoa macho ni ccm au machadema?Mataga mmebaki macho yanawatoka utasema ndiyo mmesika msiba wa meko
Chadema ni taasisi.
Ndiko wanakoelekea Mkuu kwani kuna Mtu huko kaambiwa ni Choko ( Shoga ) ndiyo maana 24/7 ananenepeana tu huko Ulaya aliko.Urafiki wa kisiasa sio urafiki ni kutegana tu, siku ya siku watasemana hata mambo yao ya siri watayaweka peupe pe
Kuna Mtu Mmoja muhimu umemsahau.Mbowe < Chahali > Lisu
Tangia uanze 'Kukazwa' umekuwa Nut.Umeandika Umbea Umbea kama Mtoto wa Kike. However, hata CCM ikitawala Milele Unadhani utapata faida gani?
Mwendazake laana kazaliwa nazo,mauaji,ufisadi wote katokanao kwao burundi...dada kunywa kvant upunguze mawazoLaana toka kwa mwenda zake zinawaandama
Kwenda huko, Wewe kwahiyo kujiita Kwako Jasusi ndiyo unadhani utamtisha kila Mtu na Kuogopeka hapa JamiiForums na Tanzania?Acha uzushi. Hakuna aliyewagombanisha Kigogo na Lissu. Chuki zako binafsi zimekutuma umtupie lawama "aliyekimbia taasisi nyeti
Taasisi Nyeti (Muhimu) Tanzania ambaye pia hujifanya ni 'Swahiba' wa hawa Wawili ndiyo akitumika vyema katika 'Kuwafarakanisha' na tayari ameshafanikiwa 99.9% hivi."
Pengine wewe ni kipofu ndo maana hukuweza kuona chanzo cha ugomvi wa Lissu na Kigogo. Kwa faida yako na wazembe wengine, Kigogo alitoa mapendekezo 6 hivi kwa Chadema kushughulikia suala la Mbowe. Miongoni mwa mapendekezo hayo ni Chadema kuingia mtaani, kupelekea watu nje kujifunza mbinu za kuing'oa CCM, kuchangishana fedha kwa ajili hiyo, nk.
Baadaye Lissu akamjibu kwa pointi 9 ambapo pamoja na masuala mengine alitanabaisha kuwa ushauri wa Kigogo kwamba Chadema waingie mtaani ni wa kijinga na hauendani na utamaduni wa chama hicho, ambacho tangu awali hakina asili ya vurugu.
Nilikuwa nakuona mtu mwenye hoja za msingi kumbe mzushi.
Una stress za gaidi wako kuwekwa rumande!Mwendazake laana kazaliwa nazo,mauaji,ufisadi wote katokanao kwao burundi...dada kunywa kvant upunguze mawazo
Ndo maana nimesema labda umelewa kwa sababu ungekuwa mzima ungebaini vitu viwili, kwanza, kigogo hajaanza kunitukana leo, na hiyo inapingana na utopolo wako kuwa nimekuwa swahiba wa hao wawili. Pili twiti husika ilikuwa ina screenshot yenye twiti yangu.Kwenda huko, Wewe kwahiyo kujiita Kwako Jasusi ndiyo unadhani utamtisha kila Mtu na Kuogopeka hapa JamiiForums na Tanzania?
Nami nilikuwa nakuona Mtu Mmoja makini ila leo nimegundua huna lolote na huenda ndiyo maana hata huko TISS unakojihusisha nako ulikimbia.
Haya umesema kuwa niwe makini na nitajuta sasa nami nakuomba tena nakuruhusu nifanyie hicho ambacho umenitisha nacho na umekidhamiria Kukifanya.
Kwakuwa Mimi nimeandika Mtu kutoka Taasisi Nyeti ( Muhimu ) nchini na kwa 'Kuwashwawashwa' Kwako umejihisi ni Wewe nami nakuuliza tena kuna Mtu katajwa na Kigogo kuwa yuko Ng'ambo ( Ulaya ) ni Choko ( Shoga ) je, hapa umelengwa Wewe au?
Vita ni sehemu ya Maisha yangu. Karibu!