Bacyclerbacy
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 1,743
- 3,017
Habar zenu
Bila kuwachosha,Baada ya kusota sana mjini kwa kutafuta kibarua nilikata tamaa kabisa ya kupata kibarua na kuamua kurudi kijijini,kama mnavyojua familia zetu nyingi za kiafrika mtu ukienda mbwinde unavyo chaa kwa kubeba kuni huku unatembea bea(bila viatu)ndo raha yani na ule moshi sasa ndo dooh unafanya unazid kuchoka.
Hata hvyo nilikaa kwa kipindi kifupi tu,Siku moja asubihu na mapema nikapata ujumbe kutoka kampuni x niende kwa ajili ya interview,aaah nilichukulia poa nikasema Sijui nisiende maana nimeshafanya kama 20 hiv,fine nikajishaur nikaona ngoja niende tu ya Mungu mengi bana
Nilifanikiwa kuwasili na kufanya kilichonipeleka na bila kuchelewa nilijibiwa kuwa nimelita (nimepata kazi)
Nilianza kazi lkn sura yangu ilikuwa imechoka sana ule uzuri wa cocoa butter ckuwa nao,Nashkr pia nilipata Boss mwenye upendo na alijua nimetoka kwenye hali gani hvyo akanipa pesa ya matumizi yaani nje kabisa ya mshahara wangu
Baada ya wiki moja kukatokea safari ya kwenda mkoani huko na boss alinichagua mm ndo nikawakilishe,lkn tunaenda wote mm na yeye.
Tulisafiri tukiwa wawili tu kwenye gari hadi mkoani Mbeya lkn tukiwa njiani boss alianza kufunguka anachohc yeye moyon mwake me nilampotezea asiee nilijua anatania kwanza maana ni very charming
Tulimaliza vema kilichotupeleka na ilipofikia usiku saa mbili hv tukaenda sehem kupata chakula kabla hatujashuka kwenye gari alifunga madirisha yote na wala sikushtuka nilijua kwavile tunashuka khaaaa nafungua mlango haufunguki namwambia mbona mlango hufunguki doooooooh boss kabadiliikaaaa suruali imevimba macho kama analia,sauti haimtok vizur kama mwanzo
Boss alinilazimisha saaaaana (dfxascgg)bila mafanikio yoyote lkn hakukata tamaa aisee tulipigana na ckuamini nimeutoa wapi ule ujasiri kulikuwa na chuma kidogo cha kunyanyua kufanyia mazoez nilikuchukua nikapasua dirisha la gari,khaaaaaaaa bado tu ananiganda nikaanza kupiga kelele sasa akawa kama amechanganyikiwa huku amejikata na kioo mm pia niliumia kidogo mkononi ila nikafanikiwa kufungua mlango nikatoa mbarutiii hizooo
Nilitafuta sehem ya kulala tofaut na pale tulipofikia bahat nzur kazi tulishamaliza hvy ilipofik asubuh nilipanda bus nikarud zangu
Ni cku ya tatu tangu leo tangu nirud nawaza kazi cjui itakuaje maana cjakanyaga na boss cjui yu hali gani napigiwa simu kazini imekuaje kwani mbona boss amerudishwa na dereva pia presha imeshuka sana na kavamiwa na majambazi kachanika mokononi mm nilikuwa wapi wakati huo mbona nimerud nipo kimya kwahy naambiwa niende boss ananiita na gari ipo polisi
Naogopaa hata cjui nifanyeje hasira hizi zinaniponza sasa naona dalili ya kibarua kuota nyasi na kusudi kijijini hii sio shida saaana kama sio kwenda rumande kabisa
Cjui nani ataniamini huko
Bila kuwachosha,Baada ya kusota sana mjini kwa kutafuta kibarua nilikata tamaa kabisa ya kupata kibarua na kuamua kurudi kijijini,kama mnavyojua familia zetu nyingi za kiafrika mtu ukienda mbwinde unavyo chaa kwa kubeba kuni huku unatembea bea(bila viatu)ndo raha yani na ule moshi sasa ndo dooh unafanya unazid kuchoka.
Hata hvyo nilikaa kwa kipindi kifupi tu,Siku moja asubihu na mapema nikapata ujumbe kutoka kampuni x niende kwa ajili ya interview,aaah nilichukulia poa nikasema Sijui nisiende maana nimeshafanya kama 20 hiv,fine nikajishaur nikaona ngoja niende tu ya Mungu mengi bana
Nilifanikiwa kuwasili na kufanya kilichonipeleka na bila kuchelewa nilijibiwa kuwa nimelita (nimepata kazi)
Nilianza kazi lkn sura yangu ilikuwa imechoka sana ule uzuri wa cocoa butter ckuwa nao,Nashkr pia nilipata Boss mwenye upendo na alijua nimetoka kwenye hali gani hvyo akanipa pesa ya matumizi yaani nje kabisa ya mshahara wangu
Baada ya wiki moja kukatokea safari ya kwenda mkoani huko na boss alinichagua mm ndo nikawakilishe,lkn tunaenda wote mm na yeye.
Tulisafiri tukiwa wawili tu kwenye gari hadi mkoani Mbeya lkn tukiwa njiani boss alianza kufunguka anachohc yeye moyon mwake me nilampotezea asiee nilijua anatania kwanza maana ni very charming
Tulimaliza vema kilichotupeleka na ilipofikia usiku saa mbili hv tukaenda sehem kupata chakula kabla hatujashuka kwenye gari alifunga madirisha yote na wala sikushtuka nilijua kwavile tunashuka khaaaa nafungua mlango haufunguki namwambia mbona mlango hufunguki doooooooh boss kabadiliikaaaa suruali imevimba macho kama analia,sauti haimtok vizur kama mwanzo
Boss alinilazimisha saaaaana (dfxascgg)bila mafanikio yoyote lkn hakukata tamaa aisee tulipigana na ckuamini nimeutoa wapi ule ujasiri kulikuwa na chuma kidogo cha kunyanyua kufanyia mazoez nilikuchukua nikapasua dirisha la gari,khaaaaaaaa bado tu ananiganda nikaanza kupiga kelele sasa akawa kama amechanganyikiwa huku amejikata na kioo mm pia niliumia kidogo mkononi ila nikafanikiwa kufungua mlango nikatoa mbarutiii hizooo
Nilitafuta sehem ya kulala tofaut na pale tulipofikia bahat nzur kazi tulishamaliza hvy ilipofik asubuh nilipanda bus nikarud zangu
Ni cku ya tatu tangu leo tangu nirud nawaza kazi cjui itakuaje maana cjakanyaga na boss cjui yu hali gani napigiwa simu kazini imekuaje kwani mbona boss amerudishwa na dereva pia presha imeshuka sana na kavamiwa na majambazi kachanika mokononi mm nilikuwa wapi wakati huo mbona nimerud nipo kimya kwahy naambiwa niende boss ananiita na gari ipo polisi
Naogopaa hata cjui nifanyeje hasira hizi zinaniponza sasa naona dalili ya kibarua kuota nyasi na kusudi kijijini hii sio shida saaana kama sio kwenda rumande kabisa
Cjui nani ataniamini huko