Naipuli
JF-Expert Member
- Oct 8, 2012
- 266
- 109
Habari za J3 waungwana,
Nahitaji kununua fridge kwa matumizi ya kifamilia nyumbani.
Nipo Kigoma mjini. Nimejaribu kufanya window shopping, lkn kwa maduka yote niliyopita nimekutana na Fridge za aina mbili tu, BOSS na Mr.UK.
Na bei zao hazitofautiani sana, difference ni kati ya 10k to 35k kutegemeana na duka.
Naomba ushauri wenu tafadhari, ninunue lipi kati ya BOSS au Mr.UK kwa kuzingatia durability, consumption ya umeme, performance etc.
....
Ahsante!
Nahitaji kununua fridge kwa matumizi ya kifamilia nyumbani.
Nipo Kigoma mjini. Nimejaribu kufanya window shopping, lkn kwa maduka yote niliyopita nimekutana na Fridge za aina mbili tu, BOSS na Mr.UK.
Na bei zao hazitofautiani sana, difference ni kati ya 10k to 35k kutegemeana na duka.
Naomba ushauri wenu tafadhari, ninunue lipi kati ya BOSS au Mr.UK kwa kuzingatia durability, consumption ya umeme, performance etc.
....
Ahsante!